proskaeur
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 1,562
- 4,899
Kagera wangekua wasafi hivyo katika hili suala wasingesema hatutoshitaki kokote,kwenye hili unamsikiliza mchambuzi au kiongozi wa Kagera?
Pia mimi nimeelezea nilivyosikia, na mwisho nimetoa mawazo yangu, ila wewe kwakua ni mwana Yanga unataka tuongelee vibaya upande usioupenda, sidhani kama ukija katika mtazamo huo tutafika kokote katika kujadili