kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
- Thread starter
- #41
sio kweli, ukipandisha bei ya soko la ndani utapunguza idadi ya wachezaji watakaokwenda kusugua mabenchi kwenye timu kubwa. Huyu Muhilu alionekana hafai Yanga akatolewa kwenda Kagera. Wako wachezaji wazuri kama Shemtembo, Ndemla, mo, Raphael Daud, Gadiel na wengine ambao wamefungiwa makabatini na timu kubwa. Hii inawezekana kwakuwa walisajiliwa kwa bei ya kutupa.Ukiinflate soko la ndani automatically utaua vilabu vidogo kwa sababu vitashindwa kabisa kusajili wachezaji.
Kagera Sugar siku zote they have issues with Simba toka wapande ligi kuu sijajua ni kwanini