Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 334
- 657
Kuna rekodi hazivunjiki kama vile;
Young Africans ndiyo Klabu ya kwanza Tanzania kuingia robo fainali klabu bingwa 1969
Simba ndiyo klabu ya kwanza kuingia nusu fainali klabu bingwa 1974
Kuna rekodi zinavunjika kama;
Yanga kuwa klabu pekee ya Tanzania kuingia ROBO FAINALI klabu bingwa kwa misimu miwili mfululizo yaani 1969 na 1970.
Simba walikuwa wanakaribia kuivunja rekodi hiyo hata hivyo jana wametolewa
Young Africans ndiyo Klabu ya kwanza Tanzania kuingia robo fainali klabu bingwa 1969
Simba ndiyo klabu ya kwanza kuingia nusu fainali klabu bingwa 1974
Kuna rekodi zinavunjika kama;
Yanga kuwa klabu pekee ya Tanzania kuingia ROBO FAINALI klabu bingwa kwa misimu miwili mfululizo yaani 1969 na 1970.
Simba walikuwa wanakaribia kuivunja rekodi hiyo hata hivyo jana wametolewa