Heshima mbele Wakuu!!! Duh yaani kama mshabiki mkubwa sana wa timu za nyumbani imenisikitisha sana pale ambapo timu zetu za Yanga (kupigwa 2-1 tena nyumbani bao moja kapa) na Simba (kupigwa 7-1) na kutolewa katika mashindano ya vilabu barani Afrika.
Wapenzi wenzangu wa soka letu la Bongo hebu nisaidieni manake nimekuwa naangalia lakini sioni penye utupu au ni Makocha?? Najua klabu zetu nyingi hazina pesa lakini mbona hizi mbili kidogo ndio zinajitutumua mpaka kuleta makocha wa Ulaya (Serbia) and yet tunapigwa mabao tu n vilabu vya nje?? Au ni wizara/taasisi za michezo ndio zinatuangusha?????
Wapenzi wenzangu wa soka letu la Bongo hebu nisaidieni manake nimekuwa naangalia lakini sioni penye utupu au ni Makocha?? Najua klabu zetu nyingi hazina pesa lakini mbona hizi mbili kidogo ndio zinajitutumua mpaka kuleta makocha wa Ulaya (Serbia) and yet tunapigwa mabao tu n vilabu vya nje?? Au ni wizara/taasisi za michezo ndio zinatuangusha?????