Qatif
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 379
- 859
Hadi kufikia sasa ambapo Simba ametinga robo fainali kibabe, kwa kumchabanga Horoya mabao 7-0 kwenye michuano ya ligi ya mabingwa Afrika CAFCL, huku Yanga ikitinga robo fainali kombe la Shirikisho Afrika CAFCC, Simba SC imezidi Yanga kwa mbali kwa kukusanya fedha nyingi kwenye michuano ya Kimataifa ya CAF wanaoshiriki.
Hii ndo maana ya michuano mikubwa kwa timu kubwa kushiriki.
Hii ndo maana ya michuano mikubwa kwa timu kubwa kushiriki.