Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,142
- 13,216
Na Mahmoud Zubeiry, Zanzibar
BAO pekee la kiungo Amri Ramadhani Kiemba, usiku huu limeifanya klabu ya Simba SC iuanze vyema mwaka 2014 baada ya kuifunga AFC Leopard ya Kenya 1-0 katika mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Mapinduzi, Kundi B, Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Simba wakishangilia bao lao pekee leo Uwanja wa Amaan
BAO pekee la kiungo Amri Ramadhani Kiemba, usiku huu limeifanya klabu ya Simba SC iuanze vyema mwaka 2014 baada ya kuifunga AFC Leopard ya Kenya 1-0 katika mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Mapinduzi, Kundi B, Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Simba wakishangilia bao lao pekee leo Uwanja wa Amaan