makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 3,761
- 3,019
mikia wanaulizana huko....kama makambo ni vile...huku je kuna makambo wangapi???.....poleni mikia maana hata komba anao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Churamikia wanaulizana huko....kama makambo ni vile...huku je kuna makambo wangapi???.....poleni mikia maana hata komba anao
Sent using Jamii Forums mobile app
Unawasilisha ujinga uliopo Bichwani mwako hongera! freedom of speech!Hahah umenikumbusha mechi ya kwanza kule Zambia Chama alivyopoteana. Pale Nkana kila anaegusa mpira Chama hadi Hassan Kessy Chama. Asee sijui Mikia iliroga?!
Mkuu ujinga ni tafsiri ya Umbumbumbu.Unawasilisha ujinga uliopo Bichwani mwako hongera! freedom of speech!
Sent using Jamii Forums mobile app
mikia wanaulizana huko....kama makambo ni vile...huku je kuna makambo wangapi???.....poleni mikia maana hata komba anao
Punguza bangi kichwan maana unakoelekea ciyo kuzur
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikia wamepagawa,goli mbili na faulo kibao mkude kadi ya njano hahahahaaaa Leo wamekalia joto LA jiwee acha wachokonoleww
Sent using Jamii Forums mobile app