nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
unaona jinsi hawa jamaa walivyowadanganya as vita wakakataa basi la simba,wakaja na mask zao,wakajilza kwenye corridor kama wanakufa vile wakati wa half time eti wamewekewa sumu,hayo ni maneno yashasemwa na kiongozi wa yanga dismass ten wakidai nao walishawekewa sumu na simba
Inashangaza tunafikiria taifa stars jumapili lakini kuna watu inawauma sana simba kufika robo fainali,nafikiri ni muda sahihi KINA MANARA MUWAAMBIE WACHEZAJI WAWE MAKINI HUKO MTAANI WANAWEZA WEKEWA HATA SUMU KWENYE VINYWAJI NA CHAKULA ili team isifike nusu fainali, hizi chuki ni za ajabu sana,nimeamini hata kwenye life mwaskini huwa wana roho mbaya sana.Mkiambiwa muweke mfumo wa kampuni hamtaki eti mnajivunia umaskini wenu.
PTUUUUU kinyaaaa kikubwa sana.
Inashangaza tunafikiria taifa stars jumapili lakini kuna watu inawauma sana simba kufika robo fainali,nafikiri ni muda sahihi KINA MANARA MUWAAMBIE WACHEZAJI WAWE MAKINI HUKO MTAANI WANAWEZA WEKEWA HATA SUMU KWENYE VINYWAJI NA CHAKULA ili team isifike nusu fainali, hizi chuki ni za ajabu sana,nimeamini hata kwenye life mwaskini huwa wana roho mbaya sana.Mkiambiwa muweke mfumo wa kampuni hamtaki eti mnajivunia umaskini wenu.
PTUUUUU kinyaaaa kikubwa sana.