Kwenye madela yenu sinkuna ramani ya afrika timu zote zitakuwa zenumimi Magema Jr ni shabiki dam wa ahly wanaocheza ligi moja na bayern munich..ova
Muwe.mnatafuta na nyinyi magoli ya.kupewa kama goli la penati nje ya box au lile la mkono la tambwegoli la kupewa ndo unapga kelele hivii???😅😅 ama kweli nyani haoni mkundu wake!!!
... Ndugu yangu, ili ushiriki klabu bingwa huna budi kuchukua ubingwa wa ligi unayoita ya "KIENYEJI" au taratibu zimebadilika awamu hii???🤔🤔🤔Usichanganye Habari za ligi ya mabingwa na hiyo ligi yenu ya kienyeji....
Mfalme wa nyika aling'ara kwenye ligi ya wanaume....nyie vyura pambana kwanza na wavulana wenzenu huko mbeya...
.....Baelezeee hao NYAU FCYanga mwaka huu ni mwendo wa vipigo tu! Kenge au PAKA atakaye jitutumua, basi ataambulia sare. Muda wa kucheka na MAPAKA 🐱 umekwisha!
Na tutachukua Ubingwa wa VPL, pasipo kupoteza hata mechi moja!
...Mie nmemshangaa pia, lakini si unakumbuka Rage aliwaitaje hawa jamaa????amakweli shukrani ya punda mateke. Yani ligi ikiyokupeleka huko unakokuita kwa "wanaume" unainanga kiasi hiki??
....Unakumbuka hawa NYAU FC tulivyowapiga kombe la mapinduzi walivyobeza ushindi wa penalty? Sasa kimetokea jana kigoli cha penalty pia..washasahau wallahgoli la kupewa ndo unapga kelele hivii???😅😅 ama kweli nyani haoni mkundu wake!!!
yani mikia bana.. poleni sana
goli la kupewa ndo unapga kelele hivii??? ama kweli nyani haoni mkundu wake!!!
mikia bila pernaty inawezekana???Kama goli la kupewa kakateni rufaa CAS huko, mtaumia sana!
Halafu ilikuwaje hao Vita wakashindwa kupata nao goli, kama simba ilipewa!?
Mtakoma mwaka huu na utopolo yenu, halafu nikihakikishie Simba kati ya game sita inazotakiwa kucheza game nne lazima izishinde na imeshaanza kampeni, bado tatu ambazo ni kwa mkapa ambapo pale hatoki mtu!
Kamati ya mapokezi mjiandae kupokea wageni wenu wiki ijayo!
We ulivyoshiriki msimu uliopita ulikuwa umeshinda ubingwa wa ligi gani?... Ndugu yangu, ili ushiriki klabu bingwa huna budi kuchukua ubingwa wa ligi unayoita ya "KIENYEJI" au taratibu zimebadilika awamu hii???