Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Naomba uongozi wa Simba hii mechi inayokuja watangaze kabisa kabla watu hawajanunua tickets kwamba hakuna kuingia bila jezi ya Simba au nguo nyekundu, itangazwe kwamba hakuna kuingia ukivaa njano, hatutaki wasaliti kwenye mechi hii.
Ijulikane mapema kama utavaa njano huingii getini, wapo wahuni watavaa Simba kwa juu wakiingia watavua, wajulishwe njano ikionekana uwanjani unatolewa, mechi ya Simba halafu wavae madera ya njano na kijani kushangilia wageni.
Ijulikane mapema kama utavaa njano huingii getini, wapo wahuni watavaa Simba kwa juu wakiingia watavua, wajulishwe njano ikionekana uwanjani unatolewa, mechi ya Simba halafu wavae madera ya njano na kijani kushangilia wageni.