Simba VS Ndanda: Updates

Akina sembo wako wapi jamani?
Namna hii mechi kubwa kama hii kukosa thread ya updates yenye kueleweka maana yake nini?
Au zile 'salamu' za jana mmeshaanza kupotezana?

Msimu uliopita siku kama hii yenye mechi ya Simba thread zilikuwa zinaanzishwa masaa 10 na zaidi kabla ya mechi
 
SIMBA
1. Daniel Agei
2.Bukungu
3.Mohamed Husein
4. Abdi Banda
5. Method Mwanjala
6. Jonas Mkude
7.Kichuya
8. James Kotei/ Muzamiru
9.Blagnon
10.Ajibu
11. Mohamed Ibrahimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom