Akina sembo wako wapi jamani?
Namna hii mechi kubwa kama hii kukosa thread ya updates yenye kueleweka maana yake nini?
Au zile 'salamu' za jana mmeshaanza kupotezana?
Msimu uliopita siku kama hii yenye mechi ya Simba thread zilikuwa zinaanzishwa masaa 10 na zaidi kabla ya mechi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.