Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,762
- 71,146
Mkataba wako MO Dewji na klabu ya Simba haukuhusisha kutuletea kwenye timu watu upendao/wanaokushinikiza ili wawe sehemu ya timu.
Huwezi kumleta Paulo Makonda ndani ya timu yetu hata kidogo. Makonda ana tuhuma nyingi zinazo gusa maisha ya watu jee kama watu wenye mahusiano na walio umizwa kama ni wanachama au washabiki wa Simba wanajisikiaje?
Mtu mwenye mikono michafu juu ya maisha ya watu anasababu gani kuingizwa timu ya Simba? Unataka kuigeuza Simba ionekane sio Klabu ya burudani na michezo bali ya maumivu na mateso kwa watu?
Hatutaki, hatutaki. Kwanza ushauri katika nini atafit kuutoa huyo? Kila jambo anafeli na kuharibu ndio aje Simba?
Sasa bora tuwashawishi wachezaji wapoteze mechi mbili za Alliance na Coastal ili kukuonyesha hatumtaki Bashite. Au kushawishi mechi ya kesho kuzomewa timu kwa jina LA Bashite hadi utakapo tengua maamuzi hayo yenye mrengo wa siasa, maana pengine umelazimishwa tuu kufanya hivyo na Wasiojulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kumleta Paulo Makonda ndani ya timu yetu hata kidogo. Makonda ana tuhuma nyingi zinazo gusa maisha ya watu jee kama watu wenye mahusiano na walio umizwa kama ni wanachama au washabiki wa Simba wanajisikiaje?
Mtu mwenye mikono michafu juu ya maisha ya watu anasababu gani kuingizwa timu ya Simba? Unataka kuigeuza Simba ionekane sio Klabu ya burudani na michezo bali ya maumivu na mateso kwa watu?
Hatutaki, hatutaki. Kwanza ushauri katika nini atafit kuutoa huyo? Kila jambo anafeli na kuharibu ndio aje Simba?
Sasa bora tuwashawishi wachezaji wapoteze mechi mbili za Alliance na Coastal ili kukuonyesha hatumtaki Bashite. Au kushawishi mechi ya kesho kuzomewa timu kwa jina LA Bashite hadi utakapo tengua maamuzi hayo yenye mrengo wa siasa, maana pengine umelazimishwa tuu kufanya hivyo na Wasiojulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app