Baraka21
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 1,265
- 3,177
Umeongea ukweli wa Mungu.Mtu analalamika lakini ukimuuliza lini mwisho kulipia ada yake ya uanachama hakumbuki lakini anataka timu iwe na mafanikio!,hapo roho mbaya ndio tatizo maana Wabongo tuna roho mbaya sana tukiona mtu ana mafanikio ndio maana hata wakati wa Magufuli walifurahi sana utakuta mtu anakuambia Magufuli kiboko kanyoosha watu sasa wote tupo sawa,hiyo sawa sio kama na yeye kipato chake kimeongezeka ila anafurahi kwa sababu fulani naye sasa kapigika.