Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

kunani leo Kigoma mwisho wa reli kuelekea mchezo wa watani wa jadi
Simba leo namuona akiingia kwa tahadhari ya kupata matokeo mapema akiamini kumruhusu yanga kutangulia kutikisa Nyavu itakuwa ni kosa kubwa kwao na yanga wanamfumo wakuweza kuzuia na kulinda matokeo endapo watafanikiwa kuongoza kupata gori...
Hivyo Tutegemee timu zote kucheza kwa nidhamu kubwa japo naiona timu ya simba ikiingia kwa pressure kubwa ya kupata matokeo ukilinganisha na mahasimu wao yanga.
Soccer siku zote ni burudani na mchezo wa makosa anaechanga kalata vizur ndio anaondoka na ushindi.
 
IMG_3729.jpg
 
Back
Top Bottom