dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 5,847
- 14,509
Eti wanajifanya kugombana watutoe Yanga kwenye line...Sisi NGAYA tumeushitukia mchezo wa haji hamtoboi.
Eti wanajifanya kugombana watutoe Yanga kwenye line...Sisi NGAYA tumeushitukia mchezo wa haji hamtoboi.
Yaani ugomvi Wa Barbara na manara utampunguza mizuka Feisal na yacouba? No way!!!Eti wanajifanya kugombana watutoe Yanga kwenye line...
Kwa mpira wa simba atafungwa mno na yanga
Anacheza namba ngapi kwenye kikosi cha Simba?Manara ndo alisababisha hii Mikia fc kufika mbali kimtindo kwenye championship. Sasa mmemtimua hamasa kwa wachezaji itashuka kabisa na kufanya muanze kutetereka. Manara bado atabaki kuwa MTU muhimu katika hii club ya mikia.
Kwa hio wewe kama uto umefurahi au umechukiaManara ndo alisababisha hii Mikia fc kufika mbali kimtindo kwenye championship. Sasa mmemtimua hamasa kwa wachezaji itashuka kabisa na kufanya muanze kutetereka. Manara bado atabaki kuwa MTU muhimu katika hii club ya mikia.
We Utopolo na utabaki kuwa utopoloKwa hio wewe kama uto umefurahi au umechukia
Manara alikuwa anaupiga mwingi sana, Manara alikuwa ndio confidence ya simba na wachezaji wote.Anacheza namba ngapi kwenye kikosi cha Simba?
Mimi kama Yanga nimejiuliza màra mbili kwa nini mkia wameshindwa kumshawishi Haji Manara HMKwa hio wewe kama uto umefurahi au umechukia
Umefurahi au umechukia?Mimi kama Yanga nimejiuliza màra mbili kwa nini mkia wameshindwa kumshawishi Haji Manara HM