magagafu
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 1,196
- 1,307
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ratiba imewabeba Sana Hawa wana finalNimecheki ratiba hapa vita anamechi mbili mfululizo za nyumbani natamani ingekuwa ndo sisi simba
Sent using Damu ya Yesu
Kweli....kundi linapokua open zaidi linakua gumuBinafsi kama nimefurahia matokeo ya droo ya saoura vs al ahly. Sababu ni kwamba Saoura kama angeshinda leo ingefanya group liwe open zaidi, maana nae angekua na points 3, ikumbukwe tutawafuata kwao, lakini al ahly angeshinda ugenini angetupiga sana gap na isitoshe game ijayo tunaenda kwake
the Legend☆
Ratiba imetubeba sisi..kwa maana kwenye marudiano tuna game mbili home...
"Itakuwa mechi ngumu lakini hatujaja hapa kuzuia, tumekuja hapa kujaribu kutengeneza nafasi kama ilivyo kwa michezo yetu mingine na kujaribu kufunga."- Kocha Patrick Aussems kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya AS Vita Club ambao utachezwa leo Jumamosi. Simba SC Tanzania on Twitter
Tulia possession tunaongoza chura japo wametuwahiMkaze viuno la sivyo mtakula tano.
Tufanye possession ya kwenu, magoli ya wenzenu, mkaze viuno kweli mechi ijayo mnaenda Misri.Tulia possession tunaongoza chura japo wametuwahi
Mpira bado ni mzuri sana. Hii ni vita ya wanaume hivyo haina kulemba.Tulia possession tunaongoza chura japo wametuwahi