ijiba
Member
- Aug 27, 2017
- 28
- 10
Muda ganiLeo simba unacheza na wamoroko mechi ya kirafiki,
Muda ganiLeo simba unacheza na wamoroko mechi ya kirafiki,
Saa 12.00 jioni saa za kwetu BongoMuda gani
Mechi inachezwa sasa hivi na ngoma draw moja moja sio saa kumi na mbili jionSaa 12.00 jioni saa za kwetu Bongo
Chanel gani mkuu ?Mechi inachezwa sasa hivi na ngoma draw moja moja sio saa kumi na mbili jion
Mechi imeahirishwa kutokana na mvua kubwa,goli la simba wamefanya kusawazisha kupitia adam salamba,kuna link niliipata ktk mtandao flanChanel gani mkuu ?