Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,015
- 16,447
Ukweli kwamba yanga anabebwa?Inafika kipindi lazima ukubali ukweli ili uwe huru.
Ukweli kwamba yanga anabebwa?Inafika kipindi lazima ukubali ukweli ili uwe huru.
Sijaona bado timu ya kuifunga Yanga msimu huu.Ukweli kwamba yanga anabebwa?
Tayari Mkuu.Wadau mbona hatupeani updates humu ?
Hamna mimi nashauri mikasa ya kula tunda kimasihara ihamie humu kuchangamsha jukwaa.Huu uzi ufutwe.
Ukiona kimya ujue mambo ni magumu, tumepanga tumuachie simba yake Mo na demu wake.Wadau mbona hatupeani updates humu ?