Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

Kama una account ya BETPAWA ingia hapa ujaribu bahati yako
 
TFF inawafahamisha wadau kuwa mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Simba SC na Yanga SC iliyokuwa ianze saa 11 jioni sasa itaanza saa 1 usiku.

TFF imepokea maelekezo ya mabadiliko ya muda wa kuanza mchezo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
 
1620506915337.png
 
Je Yanga walikuwa sahihi?? Jibu langu litakuwa, NDIYO. Kisheria walikuwa sawa na walikuwa na haki ya kusimamia msimamo wao. Kumbuka walijiandaa kwa muda wa awali.

Je Simba walikuwa sahihi?? Jibu langu litakuwa, NDIYO. Walichofanya ni kutii agizo la TFF ambao ni wasimamizi wa ligi.

Je TFF walikuwa sahihi?? Jibu langu litakuwa NDIYO. Walipokea maagizo kutoka Wizara inayosimamia michezo. Kumbuka Serikali yoyote ipo kwa ajili ya usalama na maslahi ya raia wake.

Kama wote walikuwa sahihi, Je nani abebe lawama?? Je ni Wizara?? Hapana! Ninaamini maamuzi yalifikiwa kwasababu ya maslahi ya raia, ni mapema sana kulaumu bila kujua sababu.

Je busara ilipaswa kutumika? NDIYO. Lakini swali lingine litakuja, Je wahusika walihusishwa katika maamuzi yaliyofanyika kabla ya kutaka watumie busara??

Simba na Yanga ambao ni wahusika wakuu hapa, walisikilizwa maoni yao kabla muda haujasogezwa mbele?? Kama hawakuhusishwa katika kufanya maamuzi, basi busara haikutumika. Kivipi utake busara kutoka kwao kama wewe hukutumia busara??

Maswali yote haya ni magumu, yanayohitaji majibu magumu ambayo kwasasa hayataleta suluhu. Swali moja la msingi lililobaki sasa ni,

Nini kifanyike??

Mechi imeshaota mbwawa, aibu imeshatokea, hasara kubwa imeshapatikana, limebaki suala moja la msingi, NINI KIFANYIKE??

Mechi itarudiwa?? Kama itarudiwa kwa gharama za nani?? Hasara iliyopatikana nani anaifidia?? Vipi kuhusu mashabiki??

Tafaruku yote hii inajibiwa kwa swali moja la msingi, NINI KIFANYIKE??
 
Je TFF walikuwa sahihi?? Jibu langu litakuwa HAPANA.
Sheria na taratibu ya kusogeza/kuhairisha mechi inasemaje?,ilibidi waishauri wizara husika katiba yao inasemaje
Je Yanga walikuwa sahihi?? Jibu langu litakuwa, NDIYO. Kisheria walikuwa sawa na walikuwa na haki ya kusimamia msimamo wao. Kumbuka walijiandaa kwa muda wa awali.

Je Simba walikuwa sahihi?? Jibu langu litakuwa, NDIYO. Walichofanya ni kutii agizo la TFF ambao ni wasimamizi wa ligi.

Je TFF walikuwa sahihi?? Jibu langu litakuwa NDIYO. Walipokea maagizo kutoka Wizara inayosimamia michezo. Kumbuka Serikali yoyote ipo kwa ajili ya usalama na maslahi ya raia wake.

Kama wote walikuwa sahihi, Je nani abebe lawama?? Je ni Wizara?? Hapana! Ninaamini maamuzi yalifikiwa kwasababu ya maslahi ya raia, ni mapema sana kulaumu bila kujua sababu.

Je busara ilipaswa kutumika? NDIYO. Lakini swali lingine litakuja, Je wahusika walihusishwa katika maamuzi yaliyofanyika kabla ya kutaka watumie busara??

Simba na Yanga ambao ni wahusika wakuu hapa, walisikilizwa maoni yao kabla muda haujasogezwa mbele?? Kama hawakuhusishwa katika kufanya maamuzi, basi busara haikutumika. Kivipi utake busara kutoka kwao kama wewe hukutumia busara??

Maswali yote haya ni magumu, yanayohitaji majibu magumu ambayo kwasasa hayataleta suluhu. Swali moja la msingi lililobaki sasa ni,

Nini kifanyike??

Mechi imeshaota mbwawa, aibu imeshatokea, hasara kubwa imeshapatikana, limebaki suala moja la msingi, NINI KIFANYIKE??

Mechi itarudiwa?? Kama itarudiwa kwa gharama za nani?? Hasara iliyopatikana nani anaifidia?? Vipi kuhusu mashabiki??

Tafaruku yote hii inajibiwa kwa swali moja la msingi, NINI KIFANYIKE??
 
Simba SC is a Tanzanian football club based in Dar es Salaam. Their home games are played at two stadiums Uhuru Stadium and National Stadium. Simba SC is one of two biggest football clubs in Tanzania, their archrivals being the Young Africans. The club had several names during its history, when it was founded in 1936 it was called Queens, then changed to Eagles, Dar Sunderland and later, in 1971 changed to its actual name, Simba (that means Lion in Swahili).
Simba is the biggest also the most titled club in Tanzania.

The highest level of success that Simba SC achieved was getting to the final of the CAF Cup in 1993 where they lost to Stella Abidjan of Ivory Coast. It was the highest achievement on continental competitions reached by any Tanzanian team. One of the most memorable years for the club was 2003 when it knocked off the then reigning champions Egyptian giants Zamalek on its way to qualify for the group stages of the CAF Champions League. In the first round of that year's competition, Simba SC eliminated Santos of South Africa.

Nicknames: Msimbazi street boys ( Wekundu wa Msimbazi)

Simba Sports Club Official Website: www.simba.co.tz


Simba Sports Club Trophies:
Tanzanian Premier League: 20
1965, 1966 (as Sunderland)
1972, 1973, 1976, 1977, 1978, 1979, 1980, 1993, 1994, 1995, 2001, 2002, 2004, 2007, 2009/2010, 2011/12, 2017/18, 2018/19

Tanzanian Cup: 3
1984, 1995, 2000

Tanzanian Tusker Cup: 5
2001, 2002, 2003, 2005
2005 in Kenya

CAF Cup:
Finalist : 1993

CECAFA Clubs Cup: 6
1974, 1991, 1992, 1995, 1996, 2002

Performance in CAF competitions:
2002 - First Round
2003 - Group Stage
2004 - First Round
2005 - First Round
2008 - First Round

African Cup of Champions Clubs: 8 appearances
1974: Semi-Final
1976: Second Round
1977: Second Round
1978: Second Round
1979: Second Round
1980: Second Round
1981: First Round
1995: Second Round

CAF Confederation Cup: 4 appearances
2007 - Preliminary Round
2010 - First round 16

2011 - second round 16
2012 - Second round 16

CAF Cup: 2 appearances
1993 - Finalist
1997 - First Round

CAF Cup Winners' Cup: 3 appearances
1985 - Second Round
1996 - Second Round
2001 - Second Round
kaizer chiefs 3 - simba 0 kaeni kwa kutulia mdomo uliponza kichwa
 
Back
Top Bottom