babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,841
- 6,545
Weka basi na lile gari la wazi kama lakubebea ng'ombeSasa Nani ana GUNDUView attachment 1501822
Weka basi na lile gari la wazi kama lakubebea ng'ombeSasa Nani ana GUNDUView attachment 1501822
Mbona mnatumia nguvu kubwa kuelezea mchango Wa bwana Ibrahim ktk mbeleko yenu!?Sasa Nani ana GUNDUView attachment 1501822
Asee sijaamini kuona walau kidogo signal zimesoma soma hadi wakagutuka kwamba waliandaliwa Semi trailer liwazungushe. Naamini uwepo Wa yule mzungu ndio uliowabusti hadi signal zikasomaWeka basi na lile gari la wazi kama lakubebea ng'ombe
Ah...kelele mzitoe wapi? Game gumu sana hii kwenu utulivu unahitajika!Uzi wetu upo kimya. au ndo tusimwangalie nyani usoni.
Hofu ndugu!Uzi wetu upo kimya. au ndo tusimwangalie nyani usoni.
Leo mmeingia kwa kujiachia mmejaza washambuliaji wengiHofu ndugu!
Kwel wamevunjika miguu 4Yanga wameahidi wachezaji mapesa,, wako radhi wavunjike miguu siku hyo,,
Ule mpira tuliocheza na Azam hutauona nakwambia
Kwel wamevunjika miguu 4