mozila firefox
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 899
- 1,761
Kwa kukazia Wawa ni aina ya Rio Ferdinand na John Terry, VVD, Maguire, Koulibary, shambulizi linaanzia nyuma kwenda kiungo + strikerWawa ni beki wa kisasa...ni aina ya beki anae anzisha mashambulizi...tazama magoli yote ya Simba,Pass ya tatu inayo zalisha goli Mara nyingi ina toka kwake.Wewe una taka beki wa kizamani anae subiri kukaba tu,Kumbuka Simba ni timu inayo miliki sana Mpira hivyo mabeki nao wana kuwa sehemu ya kuchezesha timu.Kazi hii ya kuchezesha timu kuanzia ngazi ya beki Wawa ana ifanya kwa ukamilifu kabisa,Simba walimuacha Juuko ambae ana fahamu sana kukaba,unadhani walifanya makosa?
Juuko anajua kukaba ila muundo wa uchezaji wa Simba ulimnyima nafasi ya kucheza,Juuko sio mzuri kuanzisha mashambulizi kuanzia chini,yeye ni mzuri kukaba tu.
Mtazame Pique pale Barca uwezo wake wa kukaba sio mkubwa sana,ila angali build up ya timu kuanzia chini,utaona umuhimu wake.
Wawa ana tuonyesha soka la kisasa na mabeki wa kisasa wana takiwa kufanya nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabeki wenye sifa hizi ulimwenguni ni wachache na ndio maana sokoni wanauzwa ghali sana
Sent using Jamii Forums mobile app