The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,381
- 1,760
Hivi Omog angekuwa Na kikosi Kama cha Yanga ingekuwaje.Omog aende Yanga.
MTU anashindwa kuwatumia wachezaji wazuri ni wanini Simba.Ajib kaenda Yanga Na sasa ndo STAR pale Yanga ila Simba alionekana kana kwamba hajui.
Niyonzima alivyokuwa Yanga alikuwa kiungo Wa kumuogopa kwa jinsi alivyokuwa anagawa mipira ila hii Leo muda sio mrefu ataanza kuzomewa uwanjani.
Mudhamiru naye anaanza kupotea kwa kasi.
Gyan alikuwa mfungaji mzuri huko Ghana ila amekuja hapa Simba ligi inamshinda Kama inavyomshinda Mavugo.Inawezekana vipi ligi ya Tanzania ikawa bora kuliko ya Ghana?
Kuna kiungo mchezaji yupo vyema Sana ila hadi kelele zipigwe ndo anaanza kucheza.Mohamed Ibrahimu.Huyu anatatizo gani Na Omog.
SlKama nilivyosema awali tatizo ni Omog basi Leo uwanja nautanua.Uongozi Wa Simba wote ni mamluki.Haiwezekani....Hawawezi kumfukuza kocha mzuri Mserbia Milovan kopovic Kama sijakosea Na kumvumilia Omog Wa kila Leo ushindi wa wasiwasi Siku nenda rudi.Kila mwaka yeye anachojua ni kupanga ulinzi imara ila ushambuliaji ni Sifuri kabisa.
Milovan alikuwa akiichezesha timu hadi unafurahi.Leo hii Sijui Simba wanachezaje no penetration pass Na wanacheza Kama wanarendemka Kama milenda.Sijui mafunzo gani ya Omog.
Nasikia viongozi wanataka kusajili tena dirisha dogo.Sijui Kama wanajielewa.Mtaleta wachezaji 100 Na hakutakuwa Na mabadiliko yoyote Kama Omog ataendelea kuhudumu pale.Wamuondoe kisha tuone Kama Mavugo sio mchezaji mzuri,kama Mo naye ni mchezaji Wa hovyo? Kama Gyan Naye ni garasa?Na Pia kama Niyonzima,Ndemla Na Mudhamiru wanachuja? Au ni Omog ndo atakuwa amepauka Sana?
MTU anashindwa kuwatumia wachezaji wazuri ni wanini Simba.Ajib kaenda Yanga Na sasa ndo STAR pale Yanga ila Simba alionekana kana kwamba hajui.
Niyonzima alivyokuwa Yanga alikuwa kiungo Wa kumuogopa kwa jinsi alivyokuwa anagawa mipira ila hii Leo muda sio mrefu ataanza kuzomewa uwanjani.
Mudhamiru naye anaanza kupotea kwa kasi.
Gyan alikuwa mfungaji mzuri huko Ghana ila amekuja hapa Simba ligi inamshinda Kama inavyomshinda Mavugo.Inawezekana vipi ligi ya Tanzania ikawa bora kuliko ya Ghana?
Kuna kiungo mchezaji yupo vyema Sana ila hadi kelele zipigwe ndo anaanza kucheza.Mohamed Ibrahimu.Huyu anatatizo gani Na Omog.
SlKama nilivyosema awali tatizo ni Omog basi Leo uwanja nautanua.Uongozi Wa Simba wote ni mamluki.Haiwezekani....Hawawezi kumfukuza kocha mzuri Mserbia Milovan kopovic Kama sijakosea Na kumvumilia Omog Wa kila Leo ushindi wa wasiwasi Siku nenda rudi.Kila mwaka yeye anachojua ni kupanga ulinzi imara ila ushambuliaji ni Sifuri kabisa.
Milovan alikuwa akiichezesha timu hadi unafurahi.Leo hii Sijui Simba wanachezaje no penetration pass Na wanacheza Kama wanarendemka Kama milenda.Sijui mafunzo gani ya Omog.
Nasikia viongozi wanataka kusajili tena dirisha dogo.Sijui Kama wanajielewa.Mtaleta wachezaji 100 Na hakutakuwa Na mabadiliko yoyote Kama Omog ataendelea kuhudumu pale.Wamuondoe kisha tuone Kama Mavugo sio mchezaji mzuri,kama Mo naye ni mchezaji Wa hovyo? Kama Gyan Naye ni garasa?Na Pia kama Niyonzima,Ndemla Na Mudhamiru wanachuja? Au ni Omog ndo atakuwa amepauka Sana?