yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Katika hali ya kushangaza Klabu cha Simba tangu Dunia ianze leo wamevaa jezi nyeusi katika mechi yao dhidi ya Stand Utd
Imezoeleka miaka nenda rudi timu ya Yanga SC ndio huvaa rangi nyeusi, hivyo basi Simba SC wamewaiga wakubwa wao Dar Young African kutumia rangi hiyo..
Mnamo mwaka 2019 wakati Simba ikiwa Afrika Kusini, Wazee wa Simba waliionya kuhusu kuvaa jezi zinazoendana na Yanga baada ya kuonekana kwenye picha mitandaoni wakiwa wamevaa jezi zenye unjanonjano.
Nikiripoti kutoka Singida ni mimi Dr Yahoo.
Imezoeleka miaka nenda rudi timu ya Yanga SC ndio huvaa rangi nyeusi, hivyo basi Simba SC wamewaiga wakubwa wao Dar Young African kutumia rangi hiyo..
Mnamo mwaka 2019 wakati Simba ikiwa Afrika Kusini, Wazee wa Simba waliionya kuhusu kuvaa jezi zinazoendana na Yanga baada ya kuonekana kwenye picha mitandaoni wakiwa wamevaa jezi zenye unjanonjano.
Nikiripoti kutoka Singida ni mimi Dr Yahoo.