Naona wanamuonea huruma tu, vinginevyo wangeshamalizana naye.Simba bado wanamuhitaji Mkude!,msimu unaisha si wangesubiri mwisho wa msimu wamtoe kwa mkopo au wamuache tu?
Mekundu na meusi?!Hivi huu ushamba was maandishi mekundu na meusi mnaupata wwpi, vitu vingine waachieni Utopolo!
Wameamua kumdhalilisha.Hizi ni dalili za Mkude kuachwaView attachment 1811892
Wameamua kumdhalilisha.
Ndio Sasa wewe unafikiri hizo ni rangi gani walizotumia 😂😂😂Mekundu na meusi?!