Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 11,239
- 14,071
Afadhali na Bocco ni mchezajiwa ndani.Wanasimba kwa maslahi ya umma, huyu Bocco astaafishwe. Kama hajajipanga basi watuambie kabla ya kuchangia Mo Arena, ni heri tuanze kumchangia kiinua mgongo chake maana anatitia hasira na hasara. Huyo Mugalu atajuana na akina Kabila na Tshisekedi
Kuliko huyo mkabaji wa mabeki.
Nafasi nne za wazi anafunga moja.
Pumbaf kabisa Muga