ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Ikiwa ni Muendelezo Wa Hatua Ya 32 bora Kombe La Shirikisho la Azam, Leo Ni Simba Sc Vs Dar City.
Je Ni Nani Kufuzu kwenda Hatua Ya 16 Bora?. Tuwe pamoja Hapa JF kwa Live Updates kuanzia Saa Moja Kamili Jioni Ya Leo
Kikosi Cha Simba Kinacho Anza
View attachment 2101486
UPDATES:
Vikosi Vinaingia Uwanjani.
00” Mpira Umeanza Hapa Benjamini Mkapa
1” Simba Wanapata kona
2” Simba Wanapata Kona
04” Simba Wanapata Kona
05” Simba Sc 1 Dar City 0 (Meddie Kagere)
09” Simba Wanapata Free Kick
10” Simba Sc 1 Dar City 0 (Meddie Kagere)
13” Simba Sc 2 Dar City 0 (Meddie Kagere)
17” Athumani Matumbo Anaoneshwa Kadi Ya Njano
18” Simba Sc 3 Dar City 0 (Chama)
20” Dar City Wanapata Kona
21” Simba Sc 4 Dar City 0 (Rally Bwalya)
23” Simba Sc Wanapata kona
26” Simba Sc 4 Dar City 0
27” Simba Sc Wanapata Free Kick
29” Dar City Wanapata Kona 2
31” Simba Sc 4 Dar City 0
36” Simba Sc 4 Dar City 0
37” Simba Sc Wanapata Kona Ya 5
38” Simba Sc Wanapata Kona Ya 6
40” Simba Sc 4 Dar City 0
42” Juma Abdallah Anaoneshwa Kadi Ya Njano
43” Simba Sc Wanapata Kona 7
Dakika Moja Ya Nyongeza
45 +1 Simba Wanapata Kona Ya 8
Mpira ni Mapumziko.
Takwimu za Kipindi Cha Kwanza
View attachment 2101559
KIPINDI CHA PILI
Timu zinarejea Uwanjani
Simba Imefanya Mabadiriko ya Wachezaji 3, Bocco, Jimson na Wawa ametoka Enock Inonga, Bwalya na Kagere
45” Kipindi Cha Pili Kimeanza Hapa Benjamini Mkapa.
47” Simba Sc 5 Dar City 0 (Wawa)
53” Dar City wanapata Free kick
55” Dar City Wanafanya Mabadiriko Ya Wachezaji 3
60” Simba Sc Wanapata Free Kick
60” Simba wanafanya Mabadiriko Mugalu na Morrison Wanaingia Akitaoka Chama na Yusuph Mhilu
62” Simba Sc Wanapata Kona
74” Simba Sc Wanapata Kona ya 13
79” Simba Sc 6 Dar City 0 ( Mugalu)
Dakika 2 za Nyongeza
90 + 2 Kenedy Juma Anapata Kadi Ya Njano
FT SIMBA SC 6 DAR CITY 0
Je Ni Nani Kufuzu kwenda Hatua Ya 16 Bora?. Tuwe pamoja Hapa JF kwa Live Updates kuanzia Saa Moja Kamili Jioni Ya Leo
Kikosi Cha Simba Kinacho Anza
View attachment 2101486
UPDATES:
Vikosi Vinaingia Uwanjani.
00” Mpira Umeanza Hapa Benjamini Mkapa
1” Simba Wanapata kona
2” Simba Wanapata Kona
04” Simba Wanapata Kona
05” Simba Sc 1 Dar City 0 (Meddie Kagere)
09” Simba Wanapata Free Kick
10” Simba Sc 1 Dar City 0 (Meddie Kagere)
13” Simba Sc 2 Dar City 0 (Meddie Kagere)
17” Athumani Matumbo Anaoneshwa Kadi Ya Njano
18” Simba Sc 3 Dar City 0 (Chama)
20” Dar City Wanapata Kona
21” Simba Sc 4 Dar City 0 (Rally Bwalya)
23” Simba Sc Wanapata kona
26” Simba Sc 4 Dar City 0
27” Simba Sc Wanapata Free Kick
29” Dar City Wanapata Kona 2
31” Simba Sc 4 Dar City 0
36” Simba Sc 4 Dar City 0
37” Simba Sc Wanapata Kona Ya 5
38” Simba Sc Wanapata Kona Ya 6
40” Simba Sc 4 Dar City 0
42” Juma Abdallah Anaoneshwa Kadi Ya Njano
43” Simba Sc Wanapata Kona 7
Dakika Moja Ya Nyongeza
45 +1 Simba Wanapata Kona Ya 8
Mpira ni Mapumziko.
Takwimu za Kipindi Cha Kwanza
View attachment 2101559
KIPINDI CHA PILI
Timu zinarejea Uwanjani
Simba Imefanya Mabadiriko ya Wachezaji 3, Bocco, Jimson na Wawa ametoka Enock Inonga, Bwalya na Kagere
45” Kipindi Cha Pili Kimeanza Hapa Benjamini Mkapa.
47” Simba Sc 5 Dar City 0 (Wawa)
53” Dar City wanapata Free kick
55” Dar City Wanafanya Mabadiriko Ya Wachezaji 3
60” Simba Sc Wanapata Free Kick
60” Simba wanafanya Mabadiriko Mugalu na Morrison Wanaingia Akitaoka Chama na Yusuph Mhilu
62” Simba Sc Wanapata Kona
74” Simba Sc Wanapata Kona ya 13
79” Simba Sc 6 Dar City 0 ( Mugalu)
Dakika 2 za Nyongeza
90 + 2 Kenedy Juma Anapata Kadi Ya Njano
FT SIMBA SC 6 DAR CITY 0