Wanaweza kuwa sahihi kulingana na muda wa mkataba.Halafu kuna watu wanakwambia azam katoa pesa ndogo, azam anampa bingwa wa vpl 500m kama bonasi
Utopoloooo njoni huku muoneeSportPesa yaipatia Simba SC hundi ya Shilingi million hamsini (Tsh50000000) za kitanzania kama pongezi kwa kufika hatua ya robo fainali katika michuano ya klabu bingwa Africa msimu wa 2020 /2021.
View attachment 1799805
Mammmae, pesa za wazee wa mikeka🤣SportPesa yaipatia Simba SC hundi ya Shilingi million hamsini (Tsh50000000) za kitanzania kama pongezi kwa kufika hatua ya robo fainali katika michuano ya klabu bingwa Africa msimu wa 2020 /2021.
View attachment 1799805
😂 😂 😂Mammmae, pesa za wazee wa mikeka🤣
Aliyekwambia 2032 watatoa milioni 500 ni nani? Huoni wamesema itakuwa inapanda? Pili unajua vodacom wanampa bingwa sh ngapi kwa sasa?Wanaweza kuwa sahihi kulingana na muda wa mkataba.
500M ya Mwaka 2022 haiwezi kuwa sawa na 500M Mwaka 2032, haiwezi. Mahitaji katika soka hayawezi kuwa sawa kwa kipindi chote Cha Miaka 10.
Inapanda kwa Tzs ngapi na kwa kila muda gani .....!Aliyekwambia 2032 watatoa milioni 500 ni nani? Huoni wamesema itakuwa inapanda? Pili unajua vodacom wanampa bingwa sh ngapi kwa sasa?
Itafika milioni 700, sasahivi unajua voda wanatoa sh ngapi kwa bingwa? Mkataba wa azam unampa hela hadi anaeshuka daraja, pili watu mnaangalia maisha ya kawaida bila kujiuliza azam anapata nini, embu angalia kwasasahivi azam anamatangazo mangapi kwa mechi, wabongo wanaweza kulipia king'amuzi kila mwezi wapo wangapi?Inapanda kwa Tzs ngapi na kwa kila muda gani .....!
kajificha Ukonga madafu, ule mzigo wa mabegi ulizidi uzito unaotakiwa kukubalika kusafiri.....🤣😂Hivi muda huu karinyo atakua kafika wapi?
Kwa Miaka Mangapi?Halafu kuna watu wanakwambia azam katoa pesa ndogo, azam anampa bingwa wa vpl 500m kama bonasi