utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 526
- 1,303
Klabu ya Simba leo imekubali kipigo cha goli 1-0 dhidi ya timu dhaifu ya Al Dhafra katika mchezo wa kirafiki uliomalizika jioni ya Leo.
Mchezo huo uliopigwa katika uwanja wa mazoezi wa timu hiyo ya Al Dhafra ulikosa mvuto kutokana na timu zote kucheza mchezo wa kujilinda zaidi.
Baada ya mchezo huo kocha mkuu wa Simba mbrazili Robertinho amewaahidi wana Simba wasiwe na waiwasi kwani anasuka kikosi cha maangamizi hivyo matokeo ya mchezo huu yasiwavunje moyo..
N.b Al Dhafra inashika mkia ligi ya UAE.
Mchezo huo uliopigwa katika uwanja wa mazoezi wa timu hiyo ya Al Dhafra ulikosa mvuto kutokana na timu zote kucheza mchezo wa kujilinda zaidi.
Baada ya mchezo huo kocha mkuu wa Simba mbrazili Robertinho amewaahidi wana Simba wasiwe na waiwasi kwani anasuka kikosi cha maangamizi hivyo matokeo ya mchezo huu yasiwavunje moyo..
N.b Al Dhafra inashika mkia ligi ya UAE.