Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,901
- 150,181
CEO wa simba anazidi kuchanja mbuga na kuonesha umahiri wake katika kufikia mafanikio ya timu kwani leo simba imeingia mkataba wa milion 800 na wababe wa wauzaji wa magari Tanzania ambao utawanufaisha simba sc kupata mabasi 3 yenye hadhi ya kibingwa (GOLDEN DRAGON NEW MODEL) , baada ya kumalizana na angani sasa ni rasmi ardhini wana uhakika wa usafiri ....
Pia kampuni hiyo ya Africariers itakuwa mdhamini mkuu wa timu ya vijana ya Simba SC ya chini ya miaka 17.
Pia kampuni hiyo ya Africariers itakuwa mdhamini mkuu wa timu ya vijana ya Simba SC ya chini ya miaka 17.