sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Haha.. NisaidieMkuu edit basi tuelewe au unataka tukusaidie
Haha.. NisaidieMkuu edit basi tuelewe au unataka tukusaidie
Wana jealous mbaya hawa. Wache wapost wanachopenda na wapiga soka watapiga soka kama wanavyopenda. Jana ule ni mfano tu. Tunaendelea kuwapumulia kisogoniMsimamo wa ligi ulioweka hapo ni wa uongo. Timu ya wananchi ina Point 40 na sio 37 kama inavyoonyesha kwenye post namba moja.
Either mka update page yenu ta facebook or weka nyingine.
Asante kwa matangazo mubasharDk 13, Mo Ibra anaingia vizuri hapa ndani ya 18, JKT wanaokoa na kuwa konaaaaa
Simba KokoSimba SC.. Nguvu Moja.
Waende mbele, wanajipenda.Ruvu shootings hawataki kwenda mbele. Hii marking yao itawaumiza sana. Wanahitaji Plan B
Waende mbele, wanajipenda.
Hawa leo ni wetu.Mkikomaa mtawafanya tulichowafanya ndanda jana.
Ila kama wakibadilika simba iandae maumivu sababu ruvu wanajua nini wanachofanya. Mpaka sasa move wamefanya moja tu.