OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,087
- 103,316
moja kati ya kigezo muhimu cha kupanga kikosi ni training. wewe unatumia kigezo gani?unafundisha kikosi cha Simba?Kichuya wa nini hapo!?
Tusibiri huwezi jua mazoezini kaonyesha nini.Kichuya wa nini hapo!?
niambie umeshiriki mazoezi ya Simba lini?sema ukweli wakoToa wawa weka milpili
Toa Gadiel weka Zimbwe
Toa Dilunga weka Kanda
Dah..View attachment 1478359
Afrika Mashariki nzima inatambua leo wenye ligi yao watakuwa Uwanja wa Taifa katika mbio za kukamilisha ratiba. Mechi ni Simba Sc dhidi ya Ruvu Shooting.
Utaungana nami hapa JF tukishirikiana na wakuu Ghazwat tutakujuza yote mastaa wa Simba wakitumbuiza pale taifa.
Usiondoke
moja kati ya kigezo muhimu cha kupanga kikosi ni training. wewe unatumia kigezo gani?unafundisha kikosi cha Simba?
Yaani huo ndio ukweli mkuu wee angalia huu uzi hapa alafu nenda kaangalie ule wa Yanga jana utaona tofauti kubwa sana, vyura wenyewe wanakuja kujazana hapa ila kule kwao hawaendi kabisa.hakika watu wanaifuatilia Simba.kule fb dakika 14 comments 400+
Hata ruvu shooting kikosi chao nina wasiwasi nacho hakiko sawa hivyo ngoma droo, ruvu anakaa...Sawa ngoja tuone ila naamini ushindi upo japo nina wasi wasi kidogo na hiki kikosi.