Utopologist
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 987
- 2,487
Yule mshika bendera wa kipindi cha kwanza arudishwe darasani
Hajui anachokifanya
Hajui anachokifanya
Achana nao hao, lazima wakuchukie kwasababu wanajua kitakacho wapata Kigoma kwa kina Suleiman Matola.Yanga nilipo huku wananichukia sana dah.
Pira pilau siyo pira kisamvu
Yap,kama vipi polisi wakaimarishe ulinzi pale Karume ofisi za tff lile kombe la Simba linaweza kuibiwa na wahuni wa mtaa wa Jangwani.90+2' Kuelekea kumalizika kwa mchezo wa VPL
Naaaam mpira umekwishaaa ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao mawili kwa bila dhidi ya Coastal Union na kuutwaa Ubingwa wa VPL.
FT, VPL; Simba SC 2-0 Coastal Union.
.... Ghazwat
Kweli kabisa Ngoja niwaacheAchana nao hao,lazima wakuchukie kwasababu wanajua kitakacho wapata Kigoma kwa kina Suleiman Matola.
Kitakacho wapata vs kilichowapataAchana nao hao,lazima wakuchukie kwasababu wanajua kitakacho wapata Kigoma kwa kina Suleiman Matola.
Ndo hivyo ndoo tumeshabeba na ASFC tunabeba pia ...Tunawasubiri Kigoma ili kuwafuta machozi hizi timu ambazo mnazionea
Walibahatisha kwa Mkapa wasidhani bahati inarudi mara mbili.Kitakacho wapata vs kilichowapata
Manula na benchi zima wamecheka mbaya sio kwa mshuti uleGadiel alichokifanya ni aibu ya mwaka
Sizitaki mbichi hizi! Cha mtu mavi.Kombe lenyewe halina mvuto
Hawajamcheka.Manula na benchi zima wamecheka mbaya sio kwa mshuti ule
Asante sana mkuu NAWATAFUNA !!Haya haya leo tunasherehekea rasmi ubingwa baada ya mnyama kufanya ya kwake leo.
Bila kuwasahau wanasimba lialia Mshana Jr BRN Kizibo Utopologist Dam55 Kalpana OKW BOBAN SUNZU na wanasimba wote.
Kombe la maandaziKombe lenyewe halina mvuto