Siyo kwamba mmemaind baada ya record ya kuwa Timu pekee Duniani kutofungwa mchezo wowote kutibuliwa na African Asports???Kauli yako imeonesha kuridhika kupata sare dhidi ya Azam kisa tu jana Yanga kafungwa na African sports ndio maana nikakuona hamnazo. Unashindwa kujua kuwa hii ni ligi ni mwendo wa mbio za kufukuzana ukipoteza point tatu unampa nafuu unayekimbizana nae. Mpaka sasa ile kauli ya kwamba tukishinda viporo vyote tunaongoza ligi inakuwa imeshayayuka kama ice cream za Azam.