Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara Vodacom Premier League VPL kuendelea kutimua vumbi leo January 7, 2021 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo Mnyama Mkali Simba SC wanaonyesha kazi na Wana lamba lamba Azam FC.
Mchezo huu wa aina yake utakuwa mkali na burudani ya kutosha ndani ya muda wote wa dakika 90 na kila timu kuhitaji ushindi na kujikusanyia alama tatu muhimu ili kuweza kujimarisha kwenye msimamo wa VPL, pia kutokana na timu zote mbili kusheheni nyota wenye vipaji.
Nani kubaki nafasi ile ile? Simba SC au Azam FC? Kumbuka mtanange huu wa VPL ni kuanzia saa 10: 00 jioni....Usikose Ukasimuliwa
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
Mchezo huu wa aina yake utakuwa mkali na burudani ya kutosha ndani ya muda wote wa dakika 90 na kila timu kuhitaji ushindi na kujikusanyia alama tatu muhimu ili kuweza kujimarisha kwenye msimamo wa VPL, pia kutokana na timu zote mbili kusheheni nyota wenye vipaji.
Nani kubaki nafasi ile ile? Simba SC au Azam FC? Kumbuka mtanange huu wa VPL ni kuanzia saa 10: 00 jioni....Usikose Ukasimuliwa
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana