Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 510
Kuna kasumba inayoendelea ya kuusu mwijaku kupewa kitengo cha huamasishaji watu kubeza naona kama wanakosea yule ni mwahamasishaji na wala si afisa habari wa timu.
Kwa mpira wa bongo ulivyo tunaitaji watu kama hawa ili game ichangamke timu inaitaji hamasa naona kwa Mwijaku
nafasi hiyo kwa sasa inamfaa epu mashabiki wa simba tumsupport akuna kitakachopungua kwa sababu yeye sio mchezaji wala ayuko kwenye benchi la ufundi.
Kwa mpira wa bongo ulivyo tunaitaji watu kama hawa ili game ichangamke timu inaitaji hamasa naona kwa Mwijaku
nafasi hiyo kwa sasa inamfaa epu mashabiki wa simba tumsupport akuna kitakachopungua kwa sababu yeye sio mchezaji wala ayuko kwenye benchi la ufundi.