Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,355
- 1,411
Thadeo Lwanga ilikuwa tusitishe mkataba wake mwezi huu kutokana na jeraha lake kuchelewa kupona na tulikuwa tayari kutafuta mbadala wake ila daktari ametuhakikishia atakuwa amepona kufikia mwisho wa mwezi huu (January)” amesema Ahmed Ally.
Yaani wenzenu wanapeleka wachezaji wao kutibiwa nchi za nje kwa gharam kubwa.... nyie mnawatema, kweli timu yangu haiwajali wachezaji wake Wanawashinda Azam na Yanga aisee!
Kwahiyo huyo Kanote ndo mbadala wa Lyanga, haingii hata nusu, kazi kupepesuka miguu tyu! Nasema Kanote tumepigwa....... yaani anashindwa na Mkude daaa!
Manara alikuwa sahihi kusema "timu inaacha wachezaji wake wazuri kisa majeraha"
Yaani wenzenu wanapeleka wachezaji wao kutibiwa nchi za nje kwa gharam kubwa.... nyie mnawatema, kweli timu yangu haiwajali wachezaji wake Wanawashinda Azam na Yanga aisee!
Kwahiyo huyo Kanote ndo mbadala wa Lyanga, haingii hata nusu, kazi kupepesuka miguu tyu! Nasema Kanote tumepigwa....... yaani anashindwa na Mkude daaa!
Manara alikuwa sahihi kusema "timu inaacha wachezaji wake wazuri kisa majeraha"