mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,017
- 3,037
Huyohuyo!Huu mwandiko kama naujua?? Sio genta... Huyu?? Au all round....??
Huyohuyo!Huu mwandiko kama naujua?? Sio genta... Huyu?? Au all round....??
Mkuu upo sahihi,ila haya mambo yapo sanaMkuu, reset akili yako iwe kwenye default setting..
Imani za kijinga zinakumaliza
Duh!Wewe Akili yako ilikuwa nzuri tokea lini?
Na kule Yanga ni nani anayewapiga misumari wenzake?.
Simba hata wakicheza viungo watupu mbona magoli yapo. Boko na Kagere umri umesogea, hakuna misumari wala uchawi. Simba ifikirie kutafuta mbadala wao toka Bayern
Usithubutu Tena kujifanya Simba!! Baki utopolo huko huko!!Kaseke, Mnata na Makapu ni balaa mno.
🤣🤣🤣🤣Usithubutu Tena kujifanya Simba!! Baki utopolo huko huko!!
Ili wewe uje ucheze nafasi yake.Simba waachane na Boko siyo kwa ishu ya uchawi bali kutokana na majeraha yake ya mara kwa mara watoe nafasi kwa mtu mwingine
Kuwa na akili hivi kila mtu anapotoa maoni anataka kuchezaIli wewe uje ucheze nafasi yake.