Simba SC ni wakati wa kusikilizia maumivu, Makocha wazungu ni ovyo sana

Kocha sio mbaya ila hawezi fanya maajabu kwa wiki moja. Chamuhimu simba hii game ya leo ilipaswa wamwachie mgunda aje na kikosi kazi chake then huyo mbrazil taratibu aingize falsafa zake kwenye game zijazo
 
Kocha sio mbaya ila hawezi fanya maajabu kwa wiki moja. Chamuhimu simba hii game ya leo ilipaswa wamwachie mgunda aje na kikosi kazi chake then huyo mbrazil taratibu aingize falsafa zake kwenye game zijazo
Hakuna kocha mzuri anayeweza kuwa na mchezaji kama Chama na akamtoa mapena namna hii wakati hana mbadala.

Hata hivyo hili ni kosa la waliomleta mzungu.Nina hasira nao sana

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Mpuuzi utopolo we!

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Toxic Concotion namkumbukaga sana aliwai kunipa busara.
Never argue with an idiot. They will drag you down to their level and beat you with experience.
Tumwache afanye kazi mechi ya kwanza..
Kama wew unajifanya una uchungu sana kuliko wanasimba wote....
Still na Iman tunashinda Leo...
Sito kujib tena...Mm ni simba
 
Back
Top Bottom