Mpuuzi utopolo we!Mm ni Simba nasema mwacheni kocha afanye kazi .
Ila aliyemleta ni mpumbavu zaidi.Huyu kocha ni mpumbavu
Tuombe Mungu tushinde kwanzaNiliwahi kusema hapa kuwa huyu mhindi ni mpuuzi sana.
Kwa uamuzi wa kuleta kocha mzungu sasa hivi,ni kuhujumu timu.
Sikubaliani kabisa na kumtoa Chama mapema hivi.
Mashabiki mlioko uwanjani onyesheni hasira zenu,huyu mzungu hatakiwi Simba
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Acha ulofa hapa hamna kochaSisi mashabiki tunamuunga mkono kocha na kibu hadi dakika ya mwisho
Akiachwa huu ni mwanzo tu.Kuna siku hatampanga kabisa.Wakionyesha hasira zao Chama atarudi uwanjani au???
Kumbe mlibamizwa na muuza matunda, basi nyie ndio hovyo zaidi....Sio kila mzungu ni kocha, wengine wauza matunda
Hakuna kocha mzuri anayeweza kuwa na mchezaji kama Chama na akamtoa mapena namna hii wakati hana mbadala.Kocha sio mbaya ila hawezi fanya maajabu kwa wiki moja. Chamuhimu simba hii game ya leo ilipaswa wamwachie mgunda aje na kikosi kazi chake then huyo mbrazil taratibu aingize falsafa zake kwenye game zijazo
Toxic Concotion namkumbukaga sana aliwai kunipa busara.
Tumwache afanye kazi mechi ya kwanza..Never argue with an idiot. They will drag you down to their level and beat you with experience.