Simba SC ni matumaini yangu mmejiandaa vilivyo kuhusu Sakata la Yanga SC na Mchezaji Morisson kwani naona limekaa vibaya Kwetu huko CAS

Kusema Kuna lolote linaweza kuikuta Simba sidhan kaka.

Kwanza kesi yenyewe haileweki, waandishi wa habari wameripoti kutoka kwenye tangazo la Yanga lakini kwenye mtandao wa CAS kesi haipo.

Mwaka huu mwanzoni Yanga walisema wamepata barua kutoka CAS kwamba utetezi wa Morrison hauna mashiko hivyo wamelipa hela yao na pia wamemlipia Morrison ili kesi ipangiwe Jaji. Kwenye taarifa ya juzi Yanga wamekuja na lingine kwamba Morrison aliweka pingamizi CAS. Sasa taarifa ya ukweli ni ipi ile ya January au hii. Hapa Kuna janja janja tu

Mwisho Morrison aliwekwa huru na TFF hivyo Kama ni rungu la FIFA basi litaenda kwa tff ambapo ligi inaweza kufutwa. Sioni Yanga Kama wanaweza kukata tawi ambalo hata wao wamekalia.
 
Kwahiyo Wasafi FM na EFM ni Waongo?
Hao ni wakala wa Utopolo.
IMG-20210601-WA0006.jpg
 
yanga wanadai morisson aliweka pingamizi kwamba utopolo hawajamaliza ngazi zote za rufaa huku bongo ila CAS wamesema kesi isikilizwe huko kwao yaani ni vululuvuluuu maana mwakalebela alishasema walilipa dollar 12,000 na wakapangiwa judge toka machester hiyo ilikuwa february kila siku story zinabadilika ,ingekuwa morisson na simba nao wanaongeaongea tungejua mengi zaidi
Morisson aweke vipi pingamizi kwenye kesi aliyoshinda?

Simba na Morisson hawaongei kwasababu wanajua hakuna kesi hapo, ni hao wasanii ndio wanapenda kudanganyana tu.
 
Wee ndy popoma kabisa, aliyekwambia Kuna hearing tarehe 2 Ni Nani?
Kwa hiyo kika wanachosema wasafi na efm unakiamini.wake up bro huwajui yanga.ile barua fake iliandikwa usiku na viongozi wa yanga baada ya morison kuwafunga namungo goli la kideo ili kuwatuliza mapopoma.hakuna hearing leo tarehe mbili huko CAS angalia cause list yao popoma wee
 
Kusema Kuna lolote linaweza kuikuta Simba sidhan kaka.

Kwanza kesi yenyewe haileweki, waandishi wa habari wameripoti kutoka kwenye tangazo la Yanga lakini kwenye mtandao wa CAS kesi haipo.

Mwaka huu mwanzoni Yanga walisema wamepata barua kutoka CAS kwamba utetezi wa Morrison hauna mashiko hivyo wamelipa hela yao na pia wamemlipia Morrison ili kesi ipangiwe Jaji. Kwenye taarifa ya juzi Yanga wamekuja na lingine kwamba Morrison aliweka pingamizi CAS. Sasa taarifa ya ukweli ni ipi ile ya January au hii. Hapa Kuna janja janja tu

Mwisho Morrison aliwekwa huru na TFF hivyo Kama ni rungu la FIFA basi litaenda kwa tff ambapo ligi inaweza kufutwa. Sioni Yanga Kama wanaweza kukata tawi ambalo hata wao wamekalia.
huwajui yanga,Hawa jamaa wapo tayari kwa lolote,na tatizo lipo tff ku side upande mmoja wa club,wao wanaona ni Kama wamewekwa mtu Kati,pale tff pana shida Sana.
 
Kamati ya TFF haikusema Morrison hana mkataba na Yanga ilisema, mkataba una mapungufu.........kwa mwenye akili timamu bila kuwa na ushabiki kichwani atakuwa ameelewa.....kesi ya msingi ilikuwa Morrison anamkataba au hana.......kamati ikaja badala ya kujibu anao au hana.......wanakuja na story za mapungufu wakati hoja ni anao au hana
 
Kamati ya TFF haikusema Morrison hana mkataba na Yanga ilisema, mkataba una mapungufu.........kwa mwenye akili timamu bila kuwa na ushabiki kichwani atakuwa ameelewa.....kesi ya msingi ilikuwa Morrison anamkataba au hana.......kamati ikaja badala ya kujibu anao au hana.......wanakuja na story za mapungufu wakati hoja ni anao au hana
Kwa hiyo mtu akigunduliwa kuwa na hela bandia, ana hela au hana?
 
Yanga nao waandae Wanasheria nguli kuwakabili Mikia huko CAS.
 
Back
Top Bottom