nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
kwa mara ya pili in 3 years ligi ya Tanzania inaenda kuingiza teams 4 Afrika leo hadi biashara na kmc wanapambania nafasi ya 4 sababu lolote linaweza kutokea,lakini anayesababisha yote hayo anapigwa vita kwelikweli yaani ni vita kweli soyo ya maneno tu ni ya vitendo:
Mwaka juzi kuna team ilikuwa na very crucial match iringa lakini ikamuacha kocha wake mcongo dsm ili aisaidie as vita iifunge simba ili iisiende robo fainali,kule iringa wakapoteza na as vita akafungwa hata baada ya kufata ushauri wa team hiyo kwamba wasiingie vyumbani kuna sumu imepulizwa.
TP mazembe kwenye robo fainali walifatwa na hao jamaa sema waliwakatalia msaada wao wakatupiga robo fainali ila kwa mara ya kwanza tukaingiza teams 4 na hayo majinga yakafaidika.
This time same story vita vikali wamenunua jezi za wapinzani wa simba hadi wamechanganyikiwa.
Leo kilichotokea cha 3-0 afrika nzima hadi mashabiki wa kaizer chiefs wanakiri simba ni noma ukiingia kwenye page ya kazier chiefs unakuta hao jamaa wamepost video ya jamaa anavinja nazi,picha za mwaka jana simba wakiwa wanapanda ,mlima uluguru morogoro na kudai simba jana walikuwa msituni.
Video ya simba vs mbabane mwaka juzi huko swaziland baada ya simba kugundua kuna sumu vyumbani jamaa wanadai kwamba ni sumu ilipulizwa leo yaani hadi manara anaonekana wakati alikuwa msibani dodoma.
Mashabiki wa kaizer chiefs wanaaiita tanzania league ni farmers league ila simba ni kiboko basi jamaa hawa wasiobebeka wakiona hizo comments wanaingilia kati na kuongea ujinga ni aibu sana
Mwaka juzi kuna team ilikuwa na very crucial match iringa lakini ikamuacha kocha wake mcongo dsm ili aisaidie as vita iifunge simba ili iisiende robo fainali,kule iringa wakapoteza na as vita akafungwa hata baada ya kufata ushauri wa team hiyo kwamba wasiingie vyumbani kuna sumu imepulizwa.
TP mazembe kwenye robo fainali walifatwa na hao jamaa sema waliwakatalia msaada wao wakatupiga robo fainali ila kwa mara ya kwanza tukaingiza teams 4 na hayo majinga yakafaidika.
This time same story vita vikali wamenunua jezi za wapinzani wa simba hadi wamechanganyikiwa.
Leo kilichotokea cha 3-0 afrika nzima hadi mashabiki wa kaizer chiefs wanakiri simba ni noma ukiingia kwenye page ya kazier chiefs unakuta hao jamaa wamepost video ya jamaa anavinja nazi,picha za mwaka jana simba wakiwa wanapanda ,mlima uluguru morogoro na kudai simba jana walikuwa msituni.
Video ya simba vs mbabane mwaka juzi huko swaziland baada ya simba kugundua kuna sumu vyumbani jamaa wanadai kwamba ni sumu ilipulizwa leo yaani hadi manara anaonekana wakati alikuwa msibani dodoma.
Mashabiki wa kaizer chiefs wanaaiita tanzania league ni farmers league ila simba ni kiboko basi jamaa hawa wasiobebeka wakiona hizo comments wanaingilia kati na kuongea ujinga ni aibu sana
hoegereni wachezaji mmepambana sana hatuna deni na nyie...kila la heri azam fc kukamata nafasi ya pili twende weote champions league in august.