Nimeangalia tena msimamo wa ligi, nikagundua kuwa kila timu ilicheza mechi 34, na sio mechi 2 kama ulivyosema 😁Unazungumzia kikosi kipi? Kile ambacho kwenye mechi 2 za ligi kimepigwa mechi moja na kutoa sare mechi moja dhidi ya Mabingwa wa Kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara.?
Nimeangalia tena msimamo wa ligi, nikagundua kuwa kila timu ilicheza mechi 34, na sio mechi 2 kama ulivyosema 😁
Endelea kuhangaika na jezi ila tarehe 12 hao Rivers watawatoa wenge.Povu la nini? Huoni jua lilivyo kali muda huu?
Ndio mlichobakiza kwa Sasa...ngojeni msimu ujao tuendelezee ubabe na nyie endeleeni kuikumbatia hiyo historian.Mabingwa mara 27 wa Kihistoria. Unasema habari gani kuhusu Ubingwa eti.?
Hao madogo wana akili sana big upHawawez wakakubali nani.avae mikusanyiko ya wafu. Nina wadogo.zangu ni yanga kinoma wamasema hawatanunua hizo jezi za uto maana hazijawafurahisha
Mwisho vita akaishia wapi na simba akafika wapi? Akili za uto ndio hiziNyiyi mlikuwa mna hangaika na nii mpaka AS Vita wakawachabanga bao 5 ...?
Baada ya kutufunga 5 walifika hatua gani?..Nyiyi mlikuwa mna hangaika na nii mpaka AS Vita wakawachabanga bao 5 ...?
Yule Kap**u aliwafanya kitu kibaya sana naona bado wana wenge.Mwisho vita akaishia wapi na simba akafika wapi? Akili za uto ndio hizi
Ndio"Hatua" ndio lililo kuwa kombe lenu mlilo likusudia?
Umempatia huyu utopoloHata Mr. Nice Ni tajiri wa kihistoria...ila saivi anakata mauno bar huko Kenya apate Hela ya pango
Uto bhana.....nyie mmetwaa kombe lipi?Hamjakosea.
Malengo ya timu yanategemeana na ukubwa wa Timu pia.
Hogereni kwa kutwaa Kombe la "HATUA" la Afriqeu.👏👏👏👏👏