Simba SC, Mo Dewji na CEO Barbara nawaomba msimjibu lolote (chochote) aliyekuwa Msemaji 'Mnafiki' Haji Manara, ila mtuachie Mashabiki

Haji kasema yanayomhusu yeye na mwajiri wake. Kama kuna mwajiri wake humu amjibu, kama si sehemu tukae kimya tuwasubiri waliotuhumiwa. Si sahihi kila MTU lkujifanya Mo Dewiji, Barbra au Hans Pope.
 
Haji kaongea ukweli mtupu maana tulikuwa tunaongea humu kwamba uyu mo anaifanya simba kuwa ya familia yake mnabisha, wewe utasemaje upati faida kwenye timu miaka yote 4? Hvi kuna mfanyabiashara anakubali hasara tu kila siku? Ni njia mojawapo ya kuwanyonya watu iyo anaanza kujiwekea ulinzi ili aendelee kufaidika watu wasihoji
Nendeni mkashitaki CAS ili Mo anyang'anywe hizo hisa
 
Manara kahusika kwa zaidi ya 30% mafanikio ya simba kwa misimu minne mfululizo, why nisimuamini ikiwa alikuwa mtu wa ndani wa klabu?
Tunashukul kwa mema Yake ila umefika mda wa yeye kwenda kutafuta changamoto sehem nyingine tumemshtukia mapema plan Yake alikua anataka amuangushe mo ili bakharesa atie mpuga simba ili awe muwekezaji ila ndo basi tena
 
Totally unprofessional from Manara. Mimi sikuwahi kuwa mfuasi wake tokea akiwa Simba.

Ukiachilia tu sifa yake kubwa ya uhamasishaji Manara hafai kupewa nafasi ya maana sehemu yoyote maana ni mropokaji/msema hovyo.

Hata kama ukiachana na mwajiri wako kwa ubaya kwa mtu anaejitambua huwezi kuenda kumchafua sehemu hasa kwenye media.

Hii itakufanya kutoaminika hata na huyo anaetaka kukuajiri maana atajua tu kuwa siku mkishindwana nae utaenda kumchafua tu. Manara na wanaomtumia wote akili zao finyu sana. Hawana upeo mzuri wa kufikiri.
Kuna tofauti ya kusema ukweli na kumchafua mtu. Ametuhumiwa kwa mambo mengi eti anahujumu timu, hivyo kaeleza mchango wake na vile timu inaendeshwa.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Kama hata anachosema leo Manara kitaendelea kuonekana kuwa ni unafiki au anataka kuharibia tu team au watu fulani ndani ya Simba, basi kuna kila dalili kuwa ndani ya Simba kuna malaika watu ambao hawakosei ,kuna kila dlili ndani ya simba kuna watu hawapaswi kusemwa vibaya hata kama wanaowasema vibaya ni watu wanaojua mabaya yao.

Kitendo cha Simba kunyamazia hili ni ishara ya kwanza kuwa kuna ukweli na ndio maana wanaogopa kujibu, kama ni uongo Simba waje wajibu ila kama ni ukweli uachwe kama ulivyo.

Simba siyo club inayoishi maisha ya kimtaadni, ni club ambayo inapaswa kujisafisha kila inapohisi imechafuliwa, ila mtu mchafu anaetaka uchafu wake, hatokubali kujisafisha.
We hua unamkosa boss wako na kumtukana?
 
Totally unprofessional from Manara. Mimi sikuwahi kuwa mfuasi wake tokea akiwa Simba.

Ukiachilia tu sifa yake kubwa ya uhamasishaji Manara hafai kupewa nafasi ya maana sehemu yoyote maana ni mropokaji/msema hovyo.

Hata kama ukiachana na mwajiri wako kwa ubaya kwa mtu anaejitambua huwezi kuenda kumchafua sehemu hasa kwenye media.

Hii itakufanya kutoaminika hata na huyo anaetaka kukuajiri maana atajua tu kuwa siku mkishindwana nae utaenda kumchafua tu. Manara na wanaomtumia wote akili zao finyu sana. Hawana upeo mzuri wa kufikiri.
Bure kabisa
 
Kwahiyo mtu kusema michezo michafu inayoendelea klabuni ni kuichafua?

Aliyeturoga waTZ alifanikiwa 'kweri kweri'
Hiyo michezo michafu kwanini hakuisema siku zote akiwa ndani ya Simba????.....Haji Manara si ndio huyu alikuwa anasema Simba sc inaongozwa kisasa sio kama timu zingine....Simba hatuhitaji tena waganga njaa kama yeye atuache.
 
Kama hata anachosema leo Manara kitaendelea kuonekana kuwa ni unafiki au anataka kuharibia tu team au watu fulani ndani ya Simba, basi kuna kila dalili kuwa ndani ya Simba kuna malaika watu ambao hawakosei ,kuna kila dlili ndani ya simba kuna watu hawapaswi kusemwa vibaya hata kama wanaowasema vibaya ni watu wanaojua mabaya yao.

Kitendo cha Simba kunyamazia hili ni ishara ya kwanza kuwa kuna ukweli na ndio maana wanaogopa kujibu, kama ni uongo Simba waje wajibu ila kama ni ukweli uachwe kama ulivyo.

Simba siyo club inayoishi maisha ya kimtaadni, ni club ambayo inapaswa kujisafisha kila inapohisi imechafuliwa, ila mtu mchafu anaetaka uchafu wake, hatokubali kujisafisha.
Simba ikitoka mbele na kumjibu Haji unategemea Haji atanyamaza? Kuna muda kukaa kimya ni jibu la busara Sana, waliomuamini haji sio dhambi wao wamuamini na maisha yaendelee lakini wakisema watoke waanze kumjibu ujue hiyo issue itakuwa na muendelezo
 
1628079200857.png
 
Press yake ya leo ni ya "Kimkakati' ya Kuichafua Klabu ya Simba baada ya Kutumwa na Maadui zetu wakubwa wa Jangwani na Chamanzi.

Nimemsikiliza Hoja zake zote na hakuna jipya sana sana ameshatuhakikishia ni kwanini ana udhaifu mkubwa wa Wanaume wengi wa Pemba, Lamu na Mombasa.

Kayakanyaga hivyo awe Mvumilivu mno.
Kabisa, haji atajibiwa na voice note tu kwenye magroup ya watsup,
Mo, Babra na uongozi wa Simba wakae kimya waendelee na usajili, Dawa ya mpuuzi ni kumpuuza
 
Hahahahahah
Ngoja tuanze nae huyo maana anania mbaya.
Asili ya ukweli huwa haijifichi na ukweli hata ukipuuzwa ukaa na kukumbukwa kwe wenye vichwa vya wenye hekima. Lkn uongo hupepea baada ya kumaliza kazi iliokusudiwa kwa uonho huwo.
Sasa manala anaonekana ni mtu wa namna gani baada ya kuongea machache yake aliosema mwenyewe. Mfano anadai waliofukuzwa simba wamefungwa kwa nn akulizungumza hili na yeye ndie aliepinga taarifa za waliofukuzwa wakati wakizungumzia mkataba aliousema manala kuwa anao?

Lkn pia manala huyu huyu ndio aliemchafua senzo kama msaliti namba moja rejea press yake kwenye mechi ya aly ahal.

Anasema alikuwa anajigaramia.kwa.kila kitu lkn kabla ya kukataa ajasema na zile fine alizokuwa anapigwa na TFF nani alikuwa anamlipia?

Manara press ya leo anakuwa ni kama anagombanisha simba na azam au anagombanisha MO na azam kwa uchonganishi huu wa jicho la tatu manala kajionesha uhalisia wake.
Anafurujuta kama kuku aliechinjwa bila kubanwa vizuri, damu ikiisga ataanguka tu
 
Back
Top Bottom