wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Wametawanyika wakikimbia na makaratasi yake.
Mnaendeleaje huko be sport
Mnaendeleaje huko be sport
Na tayari 2 ndani ya dakika 6 tuSimba anashinda 2 bila, take my words.
Be Sports wameonyesha utabiri wa Simba kupoteza mechi ya leo.
Najua Yanga wataisapoti analysis hii na Simba fans wataiponda na hii ndio raha ya mpira duniani
View attachment 1977375
Hahahaaaaa we jamaa weweBado mnaendelea kutabiri????
My words finally turned true.Simba anashinda 2 bila, take my words.
Wewe jamaa ni time traveller?Simba anashinda 2 bila, take my words.
Nabii,mtume unaswali wapi nije kukuabudu?Simba anashinda 2 bila, take my words.
Jamaa umetisha!Simba anashinda 2 bila, take my words.
Mzee kama uki bet ume win💪🏻💪🏻💪🏻Simba anashinda 2 bila, take my words.
ohooooSimba anashinda 2 bila, take my words.
Niger wanaenda kuchezea za kutosha kule Misri.Hakuna mnyonge ligi ya mabingwa,matokeo ya al ahly na timu ya niger umeyaona?
Imekua hivyo mkuu, umetishaSimba anashinda 2 bila, take my words.
Kimba Kabisa Mleta MadaMavi yako
SIMBA NGUVU MOJASimba anashinda 2 bila, take my words.
I took your wordsSimba anashinda 2 bila, take my words.