GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,793
Hebu sikieni Simba SC inahitaji yafuatayo tu na achani Kujambishwa ( Kupanikishwa ) na Propaganda za Usajili za Yanga SC kisha nanyi mnaingia Mtegoni Kwao na Kuharibu kila Kitu kisha Wao wanatucheka na Kutuona ni Mazuzu ( Majuha ) zaidi.
Najua mnanichukia sana tu ila kwakuwa nina Mapenzi na Simba SC na kamwe sitoacha Kushauri nasema haya.
1. Tafadhali sajilini Wachezaji wa Kigeni wenye Uwezo wa Kucheza Viwanja vyote vya Ardhi ya Tanzania
2. Tafadhali mrudisheni haraka sana (na msione Aibu) kulamba Matapishi yenu Yule Kocha wa Viungo Zrane
3. Tafadhali mkimaliza Kusajili itishen Kikao na Wachezaji Wazawa wa Simba SC muwaanye waache Kurogana
4. Tafadhali kabla ya Kuanza kwa Msimu Mpya Kipigwe Kisomo cha Uhakika ili Kuondoa Nuksi na Kuilinda Timu
5. Tafadhali hakikisheni mnawaambia Wachezaji wa Simba SC kuwa Jezi ya Klabu yetu ina Thamani Kubwa
6. Tafadhali Wachezaji wa Simba SC wawekewe Malengo na hata Mishahara yao watapewa Wakiyatimiza
7. Tafadhali Waambieni Wachezaji wa Simba SC kuwa mwaka huu tumewasamehe ila Msimu ujao tutawapiga
Nimemaliza.
Najua mnanichukia sana tu ila kwakuwa nina Mapenzi na Simba SC na kamwe sitoacha Kushauri nasema haya.
1. Tafadhali sajilini Wachezaji wa Kigeni wenye Uwezo wa Kucheza Viwanja vyote vya Ardhi ya Tanzania
2. Tafadhali mrudisheni haraka sana (na msione Aibu) kulamba Matapishi yenu Yule Kocha wa Viungo Zrane
3. Tafadhali mkimaliza Kusajili itishen Kikao na Wachezaji Wazawa wa Simba SC muwaanye waache Kurogana
4. Tafadhali kabla ya Kuanza kwa Msimu Mpya Kipigwe Kisomo cha Uhakika ili Kuondoa Nuksi na Kuilinda Timu
5. Tafadhali hakikisheni mnawaambia Wachezaji wa Simba SC kuwa Jezi ya Klabu yetu ina Thamani Kubwa
6. Tafadhali Wachezaji wa Simba SC wawekewe Malengo na hata Mishahara yao watapewa Wakiyatimiza
7. Tafadhali Waambieni Wachezaji wa Simba SC kuwa mwaka huu tumewasamehe ila Msimu ujao tutawapiga
Nimemaliza.