Simba SC amkeni upesi kwani mnahujumiwa na N-CARD ili Tiketi zisumbue Mtandaoni na Uwanja usijae Jumapili

hii ndio tafsiri ya makolo yasiyo na akili yakiongozwa na liongo li genta..

Malalamiko FC
 
Waulize watu wa clearing and fowarding au watu wanaofanyakazi na TRA watakupa elimu nini maana ya system down.

Maana si kwa umbumbumbu huu, hao N card kwamba hawataki pesa? Hivi kwamba hujui hata JF huwa inakuwa down mpaka kwa siku 3 hadi wiki?
mkuu mbona unapoteza muda kubishana na zuzu
 
Waulize watu wa clearing and fowarding au watu wanaofanyakazi na TRA watakupa elimu nini maana ya system down.

Maana si kwa umbumbumbu huu, hao N card kwamba hawataki pesa? Hivi kwamba hujui hata JF huwa inakuwa down mpaka kwa siku 3 hadi wiki?
Ndo iwe down kwa Simba tu! Is it coincidence au conspiracy?
 
Roho mbaya tu kwani Simba wanawakilisha nchi gani.

Huu ni ushabiki wa kishamba mno ushapitwa na wakati ndio ushabiki unaorudisha soka letu nyuma.

Utakuta hadi viongozi wa siasa wanatawaliwa na hisia wanasahau wapo kwa mujibu wa maslahi ya taifa

Kama sisi kwa sisi tunahujumiana kwa swala la maendeleo Kama haya

Utorism tegemeeni makubwa huko river City
 
Simba SC walie na Waziri Mmoja aliyekuwa na Timu yake Mkoa wenye Kuku wengi Tanzania.

Simba SC walie na Katibu Mkuu Mmoja wa Wizara ambayo hata Mbwana Samatta anawajibika nayo.

Hawa Viongozi Wawili ( ambao ni Yanga SC lia lia ) kwa Kushirikiana na Mstaafu Mmoja Kikatiba ndiyo wanaishurutisha N-CARD kufanya Hujuma hii kwa Simba SC ili tu ikose Mapato Makubwa na Simba Day ya Jumapili ( Keshokutwa ) Uwanja usijae ili Watucheke na Yanga SC yao ibakie na Rekodi ya Kuujaza Uwanja katika Tamasha lao la Siku ya Wananchi.

Mightier nikija na Mada huwa naziamini.
Basi fungulieni milango bure muone utakavyo jaa.
 
Viongozi wa Simba na wasimamizi wa mfumo wa tiketi za kielektroniki N-Card, wamekubaliana kutoa kadi nyingine tofauti kwa ajili ya watu kuingia uwanjani kwenye Tamasha la Simba Day. #SimbaDay2021 #NguvuMoja
IMG_20210917_194535.jpg
 
Back
Top Bottom