Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,261
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara Vodacom Premier League VPL' kuvurumishwa leo Aprili 27, 2021 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo Vinara wa Ligi, Mnyama Mkali Simba SC anapepetana na Dodoma Jiji FC.
Mchezo inatarajiwa kuwa kali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika 90 huku kila timu ikihitaji alama tatu muhimu ili kuweza kujiweka sawa kwenye msimamo wa VPL.
Katika mchezo mzunguko wa kwanza February 4, 2021 Simba SC waliweza kuibuka na ushindi wa mabao mawili kwa moja
Je Mnyama Mkali Simba ataendeleza ushindi na kuendelea kuwa juu zaidi? Au Dodoma Jiji FC wataweza kuisimamisha Simba SC kwenye wimbi lake la ushindi?
Kumbuka mtanange huu ni kuanzia saa 1:00 Usiku. Gumzo Hapo Ndipo.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana.
=========
Wakati wowote mpira utaanza uwanja wa Mkapa.
00' Naaaam mpira umeanza ni vita vya VPL Simba SC dhidi ya Dodoma Jiji.
08' Mugalu Goooooooooooooooooooooal
Kope Mutshimba Mugalu anaipatia Simba SC bao la kwanza akipokea pasi safi kutoka kwa Bwalya
Simba SC 1-0 Dodoma Jiji FC
Baada ya kushambulia Dodoma Jiji walipoteza mpira na wakawahi Simba na kuwa katika miliki yao.
Mkandala anaonyeshwa Kadi ya Njano baada ya kumfanyia faulo Miquissone.
20' Simba SC 1-0 Dodoma Jiji FC
Inapigwa kuelekea Simba SC golikipa Manula anadaka na anatema mpira
29' Goooooooooooooooooooooal
Dodoma Jiji FC wanasawazisha kupitia kwa Mkandala
Simba SC 1-1 Dodoma Jiji FC
Kwa wakati huu mpira una mashambulizi kwa pande zote mbili, lakini mabeki wanakuwa makini
Mzamir anapoteza nafasi bomba ya kufunga, ilikuwa Hatari sana lango la Dodoma Jiji FC
45+2' Kuelekea kuwa mapumziko uwanja wa Mkapa.
Naaaam mpira ni mapumziko ambapo Timu zinatoka kwa kufungana bao moja kwa moja
HT, VPL; Simba SC 1-1 Dodoma Jiji FC
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Mkapa, huku Simba wakijaribu kwa kupenya ngome ya Dodoma Jiji.
51' Ametoka Mzamir na nafasi yake imechukuliwa na Morrison, upande wa Simba SC
55' Miquissone Goooooooooooooooooooooal
Luis Miquissone anaipatia Simba SC bao la pili akipokea pasi safi kutoka kwa Chama
Simba SC 2-1 Dodoma Jiji FC
60' Ametoka Mtegeta na ameingia Mapunda upande wa Dodoma Jiji FC
Mugalu Goooooooooooooooooooooal Gooooal
Kope Mutshimba Mugalu anaipatia Simba bao la tatu kwa kazi nzuri ya Chama
Simba SC 3-1 Dodoma Jiji FC
71' Ametoka Miquissone na ameingia Ajibu upande wa Simba SC
81'' Dodoma Jiji wanafanya mabadiliko, ametoka Mganga na ameingia Nkosi huku Simba SC wakimtoa Mugalu na ameingia Kagere.
90+3' Kuelekea kumalizika kwa mchezo wa VPL
Naaaam mpira umekwishaaa ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao matatu kwa moja dhidi ya Dodoma Jiji FC
FT, VPL: Simba SC 3 - 1 Dodoma Jiji FC
Ghazwat
Mchezo inatarajiwa kuwa kali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika 90 huku kila timu ikihitaji alama tatu muhimu ili kuweza kujiweka sawa kwenye msimamo wa VPL.
Katika mchezo mzunguko wa kwanza February 4, 2021 Simba SC waliweza kuibuka na ushindi wa mabao mawili kwa moja
Je Mnyama Mkali Simba ataendeleza ushindi na kuendelea kuwa juu zaidi? Au Dodoma Jiji FC wataweza kuisimamisha Simba SC kwenye wimbi lake la ushindi?
Kumbuka mtanange huu ni kuanzia saa 1:00 Usiku. Gumzo Hapo Ndipo.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana.
=========
Wakati wowote mpira utaanza uwanja wa Mkapa.
00' Naaaam mpira umeanza ni vita vya VPL Simba SC dhidi ya Dodoma Jiji.
08' Mugalu Goooooooooooooooooooooal
Kope Mutshimba Mugalu anaipatia Simba SC bao la kwanza akipokea pasi safi kutoka kwa Bwalya
Simba SC 1-0 Dodoma Jiji FC
Baada ya kushambulia Dodoma Jiji walipoteza mpira na wakawahi Simba na kuwa katika miliki yao.
Mkandala anaonyeshwa Kadi ya Njano baada ya kumfanyia faulo Miquissone.
20' Simba SC 1-0 Dodoma Jiji FC
Inapigwa kuelekea Simba SC golikipa Manula anadaka na anatema mpira
29' Goooooooooooooooooooooal
Dodoma Jiji FC wanasawazisha kupitia kwa Mkandala
Simba SC 1-1 Dodoma Jiji FC
Kwa wakati huu mpira una mashambulizi kwa pande zote mbili, lakini mabeki wanakuwa makini
Mzamir anapoteza nafasi bomba ya kufunga, ilikuwa Hatari sana lango la Dodoma Jiji FC
45+2' Kuelekea kuwa mapumziko uwanja wa Mkapa.
Naaaam mpira ni mapumziko ambapo Timu zinatoka kwa kufungana bao moja kwa moja
HT, VPL; Simba SC 1-1 Dodoma Jiji FC
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Mkapa, huku Simba wakijaribu kwa kupenya ngome ya Dodoma Jiji.
51' Ametoka Mzamir na nafasi yake imechukuliwa na Morrison, upande wa Simba SC
55' Miquissone Goooooooooooooooooooooal
Luis Miquissone anaipatia Simba SC bao la pili akipokea pasi safi kutoka kwa Chama
Simba SC 2-1 Dodoma Jiji FC
60' Ametoka Mtegeta na ameingia Mapunda upande wa Dodoma Jiji FC
Mugalu Goooooooooooooooooooooal Gooooal
Kope Mutshimba Mugalu anaipatia Simba bao la tatu kwa kazi nzuri ya Chama
Simba SC 3-1 Dodoma Jiji FC
71' Ametoka Miquissone na ameingia Ajibu upande wa Simba SC
81'' Dodoma Jiji wanafanya mabadiliko, ametoka Mganga na ameingia Nkosi huku Simba SC wakimtoa Mugalu na ameingia Kagere.
90+3' Kuelekea kumalizika kwa mchezo wa VPL
Naaaam mpira umekwishaaa ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao matatu kwa moja dhidi ya Dodoma Jiji FC
FT, VPL: Simba SC 3 - 1 Dodoma Jiji FC
Ghazwat