zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 10,140
- 21,449
Shida umeanza kushangilia juzi mpira kmc alipewa m20 na makonda (unajua alikuwa shabiki wa timu gani) waliofungwa yanga unajua ilikuwaje kaulizeAhadi kwa dodoma jiji dhidi ya ssc.
1. Ushindi 15 ml
2. Droo 10 ml
3. Kumvunja mchezaji wa simba 5 ml.
Hadi leo haji manara anasema anajua figisu mlizotumia kuchukua ubingwa (achana na mbeleko za TFF, na viporo)