Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Ni kwamba hata maneno aliyoyatamka Rage au Simba kuhusu misiba ya wasanii au wachezaji yawe mabaya au mazuri namna gani, at the end of the day kazi kuu ya klabu ya soka ni kuwa na timu inayoshinda mechi muhimu na vikombe muhimu, na mfano ni huo wa 5 - 0. That's the context !
Kekundu.
Kama hii ndio aina ya wanachama tulionao basi kazi ipo...
Kama kazi ya mwenyekiti ni kuhakikisha ushindi unapatikana kazi ya kocha na benchi lake la ufundi itakuwa nini sasa?