Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 2,263
- 2,986
Kwahiyo unataka kusema Azam wanafeli kwasababu ipi? Maana umesema kuwa Azam wamefanya uwekezaji mkubwa ambapo hata Simba pia wamefanya uwekezaji pia. Haya nipe tofauti zao kwanini Azam wanafeli pamoja na kufanya uwekezaji?Ndio maana hukuwahi kusikia kombe moja limebebwa na timu mbili.
Habari za kubahatisha mbona Azam fc na uwekezaji wote hajawahi kufanya lolote?
Simba amewahi kucheza fainal Shirikikisho CAF.., VIPI YANGA na hao unaowataja mnahistoria gani?