Simba na Yanga zitaweza ushindani wa Afrika? Al Ahly imemuajiri kocha wa Mamelodi, Mosimane kwa mshahara wa Dola za Kimarekani 120,000 kwa mwezi

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,526
habari wapenda soka,

jana kulikuwa na mechi ya nusu fainali ya kwanza ya ligi ya mabingwa africa, kati ya Waydad casablanca na Al ahly

mechi hiyo ilichezwa mjini Cassablanca huku waydad akiwa mwenyeji. na al ahly alikuwa ugenini.. mechi iliisha kwa al ahly kushinda goli 2-0 ugenini

katika kitu kilichonishangaza ni kumuona kocha wa mamelodi .. mzee mosimane akiwa kama kocha wa al ahly.. na mtangazaji akatangaza kwamba kocha wa mamelodi ameibadilisha sana al ahly jinsi ya kucheza ugenini,,, zamani al ahly ugenini wanapaki bus tu,,, ila jana wanashambulia mwanzo mwisho kama hawapo ugenini vile na mtangazaji akaongezea kwa style ile kweli mosimane ana haki ya kulipwa usd 120,000 per month na bonus kibao na al ahly ( kumbuka huu mshahara ni sawa na milioni karibu 300 za kitanzania kwa mwezi) mshahara wa mwezi mmoja ni mkubwa kuliko mafao ya mbunge

nikawaza Simba na yanga yangu tunaweza kuajiri makocha kama mosimane, makocha wetu mishahara yao ikoje?

kila siku tunafukuza makocha, why tusiwe tunafanya hunting kama al ahly walivyofanya kwa kocha wa mamelodi.. maana kwenye hela hakuna mtu anakataaa

ofa kama aliyopewa mosimane hata viongozi wa mamelodi walimuelewa alivyowaambia anaacha kazi yao,, maana ofa ya al ahly ni nono sana

Pitso Mosimane reported new salary at Al Ahly dwarfs Mamelodi Sundowns deal
 
Uliangalia game ya jana ya inter na ac milan
Kocha wa milan analipwa kama 1.2 milion euro wakati kocha wa inter analipwa 10 milion euro na hata thamani ya kukosi cha inter na milan zimeachana kwa mbali, ukichanganya na mishahara inter wako juu lakini mwisho wa mchezo ac milan ameshinda 2 kwa 1.
Ili kupata ushindi kuna mambo mengi yanatakiwa cha muhimu ni kuwa na menejimenti inayojua wajibu wao
 
Uliangalia game ya jana ya inter na ac milan
Kocha wa milan analipwa kama 1.2 milion euro wakati kocha wa inter analipwa 10 milion euro na hata thamani ya kukosi cha inter na milan zimeachana kwa mbali, ukichanganya na mishahara inter wako juu lakini mwisho wa mchezo ac milan ameshinda 2 kwa 1.
Ili kupata ushindi kuna mambo mengi yanatakiwa cha muhimu ni kuwa na menejimenti inayojua wajibu wao
Uliangalia game ya jana ya inter na ac milan
Kocha wa milan analipwa kama 1.2 milion euro wakati kocha wa inter analipwa 10 milion euro na hata thamani ya kukosi cha inter na milan zimeachana kwa mbali, ukichanganya na mishahara inter wako juu lakini mwisho wa mchezo ac milan ameshinda 2 kwa 1.
Ili kupata ushindi kuna mambo mengi yanatakiwa cha muhimu ni kuwa na menejimenti inayojua wajibu wao

Inter milan na ac milan ni mfano mbovu kwenye hoja ya mshahara wa mosimane..

Kwa hiyo unamaanisha simba na yanga zitatwaa kombe la africa kwa makocha hawa wa bei rahisi kina kaze na wachezaji hawa kina chama?

Kuchagua kocha bora ambaye habahatishi na mzoefu mashindano ya africa ni akili pia.. ndio maana al ahly ikawaacha makocha kibao misri na kuamua kumfata mosimane na kumpa ofa nono ya mara mbili ya mshahara aliokuwa analipwa mamelodi...
 
habari wapenda soka,

jana kulikuwa na mechi ya nusu fainali ya kwanza ya ligi ya mabingwa africa, kati ya Waydad casablanca na Al ahly

mechi hiyo ilichezwa mjini Cassablanca huku waydad akiwa mwenyeji. na al ahly alikuwa ugenini.. mechi iliisha kwa al ahly kushinda goli 2-0 ugenini

katika kitu kilichonishangaza ni kumuona kocha wa mamelodi .. mzee mosimane akiwa kama kocha wa al ahly.. na mtangazaji akatangaza kwamba kocha wa mamelodi ameibadilisha sana al ahly jinsi ya kucheza ugenini,,, zamani al ahly ugenini wanapaki bus tu,,, ila jana wanashambulia mwanzo mwisho kama hawapo ugenini vile na mtangazaji akaongezea kwa style ile kweli mosimane ana haki ya kulipwa usd 120,000 per month na bonus kibao na al ahly ( kumbuka huu mshahara ni sawa na milioni karibu 300 za kitanzania kwa mwezi) mshahara wa mwezi mmoja ni mkubwa kuliko mafao ya mbunge

nikawaza Simba na yanga yangu tunaweza kuajiri makocha kama mosimane, makocha wetu mishahara yao ikoje?

kila siku tunafukuza makocha, why tusiwe tunafanya hunting kama al ahly walivyofanya kwa kocha wa mamelodi.. maana kwenye hela hakuna mtu anakataaa

ofa kama aliyopewa mosimane hata viongozi wa mamelodi walimuelewa alivyowaambia anaacha kazi yao,, maana ofa ya al ahly ni nono sana

Pitso Mosimane reported new salary at Al Ahly dwarfs Mamelodi Sundowns deal
Malipo ya kocha, mchezaji na kombe linalogombaniwa linaendana na uchumi wa nchi husika, mo au gsm kiukweli wana uwezo wa kuleta kocha au mchezaji wa aina hyo ila mwisho wa siku kombe Lina thamani ndogo sana , pia ebu jifikilie unaleta kocha kama Huyo alafu Tim yake simba au yanga inaenda kucheza majalubani uko mikoani , yaan is the non sense, so uchumi ukikua wataletwa , usisahau hzo nchi wanauza mafuta mchezaji wao mmoja galama yake ni billion
 
Ukweli ni kwamba, si Simba wala Yanga yenye uwezo wa kushindana kwenye soka la Afrika!!

Hajji Manara amekuwa akiwadanganya mashabiki wao kwamba Simba ipo daraja la akina TP Mazembe lakini ukweli ukweli ni kwamba hata kunusa hawajanusa daraja hilo!!

Kwa viwango vya soka la Afrika Mashariki na Kati minus DRC, Simba ni timu bora lakini kwa viwango vya Afrika, Simba bado sana!!

Wachezajo WOTE wa Simba wanaoonekana ni bora, ubora wao ni kwa level ya Afrika Mashariki na Kati, minus DRC!!

Wachezaji kama Jose Miqquisone, Larry Bwalya na Chama... hawa wote ni wachezaji bora lakini ubora wao ni kwa level ya Afrika Mashariki na Kati minus DRC!!

Soka letu lipo bado sana!! Ukitaka kugundua ubado wa soka letu waanngalie wachezaji kama Simon Msumva na Farrid Mussa!!

Kwangu Msumva ni mchezaji bora sana baada ya Samatta ingawaje Samatta anashindwa kuonesha ubora wake Stars bila shaka kwa hofu ya kuumia!

Mchezaji kama Msumva anaweza kuwa lulu kubwa na yenye kung'ara hata kwa club ya Simba lakini kule Morocco timu anayochezea ni ya kawaida tu!

Timu kama Raja au Wydad Cassablanca wakiamua ki kweli kweli kumtaka Msumva, sidhani kama wanaweza kushindwa kumchomoa kule aliko!

Lakini si ajabu, pamoja na sisi kumuona ni mchezaji wa kutisha sana na kutegemewa lakini inawezekana kule anaonekana si wa kutisha kiasi hicho!!

Pamoja na hayo, there's no way Msumva anaweza kuwa benchi endapo angechezea Simba!!!

Thomas Ulimwengu nae yupo Mazembe kwa sababu ya u-senior tu lakini sio performance! Lakini Thomas Ulimwengu huyi huyo akija Yanga au Simba lazima atacheza tu!!!

Kwa kuangalia ukweli huo mchungu, ndo maana haikushangaza hata kidogo kuona Simba msimu uliopita akiaga michuano ya Afrika mapema tu, tena wakitolewa na timu ambayo wala sio miongoni mwa timu bora Afrika!!!

Simba iliyotolewa msimu uliopita na hii, tofauti yake ni ndogo sana!!!

Na kwa maana nyingine, wala sitashangaa msimu ujao Simba wakitolewa mapema vile vile unless apate zari la kukutana na timu chovu kwenye round za awali, hususani timu za East and Central Africa, minus DRC!!!
 
Ukweli ni kwamba, si Simba wala Yanga yenye uwezo wa kushindana kwenye soka la Afrika!!

Hajji Manara amekuwa akiwadanganya mashabiki wao kwamba Simba ipo daraja la akina TP Mazembe lakini ukweli ukweli ni kwamba hata kunusu hawajanusa daraja hilo!!

Kwa viwango vya soka la Afrika Mashariki na Kati minus DRC, Simba ni timu bora lakini kwa viwango vya Afrika, Simba bado sana!!

Wachezajo WOTE wa Simba wanaoonekana ni bora, ubora wao ni kwa level ya Afrika Mashariki na Kati, minus DRC!!

Wachezaji kama Jose Miqquisone, Larry Bwalya na Chama... hawa wote ni wachezaji bora lakini ubora wao ni kwa level ya Afrika Mashariki na Kati minus DRC!!

Soka letu lipo bado sana!! Ukitaka kugundua ubado wa soka letu waanngalie wachezaji kama Simon Msumva na Farrid Mussa!!

Kwangu Msumva ni mchezaji bora sana baada ya Samatta ingawaje Samatta anashindwa kuonesha ubora wake Stars bila shaka kwa hofu ya kuumia! Mchezaji kama Msumva anaweza kuwa lulu kubwa na yenye kung'ara hata kwa club ya Simba lakini kule Morocco timu anayochezea sio ya kutisha kiasi hicho!

I doubt ikiwa timu kama Raja Cassablanca au Wydad Cassablanca wanaweza kushindwa kumchomoa Msumva kule aliko endapo wangetaka kufanya hivyo!

Lakini si ajabu, pamoja na sisi kumuona ni mchezaji wa kutisha sana na kutegemewa lakini inawezekana kule anaonekana ni average player!!

Pamoja na hayo, I doubt kama Msumva anaweza kuwa benchi endapo angechezea Simba!!!

Thomas Ulimwengu nae yupo Mazembe kwa sababu ya u-senior tu lakini sio performance! Lakini Thomas Ulimwengu huyi huyo akija Yanga au Simba lazima atacheza tu!!!

Kwa kuangalia ukweli huo mchungu, ndo maana haikushangaza hata kidogo kuona Simba msimu uliopita akiaga michuano ya Afrika mapema tu, tena wakitolewa na timu ambayo wala sio miongoni mwa timu bora Afrika!!!

Simba iliyotolewa msimu uliopita na hii, tofauti yake ni ndogo sana!!!

Na kwa maana nyingine, wala sitashangaa msimu ujao Simba wakitolewa mapema vile vile unless apate zari la kukutana na timu chovu kwenye round za awali, hususani timu za East and Central Africa, minus DRC!!!
Umeandika kiutopolo Chama, Bwalya na Luis wana uwezo wa kucheza timu yoyote afrika na kama Simba ingekuwa na wachezaji wa aina hiyo nane ni wazi afrika tungekuwa tunatisha.
Unazungumzia Simba kutolewa mapema mwaka jana mbona huzungumzii Simba kufika robo fainali mwaka juzi.
Usiishi kwa kukariri mpira ni mchezo wa wazi
 
Umeandika kiutopolo Chama, Bwalya na Luis wana uwezo wa kucheza timu yoyote afrika na kama Simba ingekuwa na wachezaji wa aina hiyo nane ni wazi afrika tungekuwa tunatisha.
Unazungumzia Simba kutolewa mapema mwaka jana mbona huzungumzii Simba kufika robo fainali mwaka juzi.
Usiishi kwa kukariri mpira ni mchezo wa wazi
Kitendo cha kufika robo fainali msimu wa nyuma na kisha kujakutolea hatua ya mwanzoni msimu unaofuata, huoni kama inaonesha timu ilibahatisha tu kufika robo fainali?
 
Kitendo cha kufika robo fainali msimu wa nyuma na kisha kujakutolea hatua ya mwanzoni msimu unaofuata, huoni kama inaonesha timu ilibahatisha tu kufika robo fainali?
Na nyie bahatisheni tuwaone tumewabeba mpaka mkashiriki halafu mnatuletea upotolo wenu
 
Back
Top Bottom