Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,345
- 13,078
Ndio hivyo ujue tu umeongea pumba... Ushabiki wa Mpira haujawahi kua kigezo cha watu kukosa ufanisi katika shughuli zao. Ukiona mtu anajadili mpira siku nzima ujue hana cha kufanya ila sio ameacha anachofanya ili ajadili mpira siku nzima.Wewe na nani...kwani nimeoa wangapi ?